Chris Mungoreme
Member
- Aug 10, 2011
- 72
- 14
Wapendwa naombeni kujuzwa kuhusu wapi nitapata mbegu nzuri ya kuku wa mayai maana nilishauriwa niagizie Uganda lakini inasemekana kwamba Serikali imezuia uingizaji wa vifaranga kutoka nje.
Shukrani
Shukrani