Ushauri kuhusu huyu mwanamke

Uzinzi ni dhambi
Kama Ulimuahidi ndoa hesabu laana
kweli mkuu uasherati dhambi.....nlimuahidi ndoa kama tutawezana ktk kipindi hiki lkn tulishindwana basi
 
kweli mkuu uasherati dhambi.....nlimuahidi ndoa kama tutawezana ktk kipindi hiki lkn tulishindwana basi

Mnashindwana baada ya kumtoboa mtoto wa watu Mkuu?

Msiwafanyia hivyo wanawake bhana
 
Ulipenda mkalio tu.


Pole
 
Hakika wanawake tuna huruma sanaaaaa.
 

Sasa kashakwambia ana wanaume wengi wee huino kuwa huyu ni yupo kwenye stage ya kugegedana tuu na hana mpango wa kuwa na serious relationship.
 
huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Kisamvu cha kopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…