Ushauri kuhusu huyu mwanamke

Kutongozwa ni kawaida tu ila aisiwe mwepesi kutoa no ya simu kuepuka mengi.
 
huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Duu kimbia fasta.
 
Mpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
Watu wanatongoza mwanamke mjamzito. Wanaweka na hati ya nyumba juu.

Sala na maombi husaidia kumfanya mtu asikie aibu au woga kumsaliti mwenzie, ingawa sio uhakika wa kuzuwia kuchepuka 100%.
 
Kama ofisini wote mlimfukuzia ukashinda wewe sasa unadhani wanaume wengine hawamuoni na kumtongoza km mlivyofanya ofisini kwenu .
 
Hizo kweli ni changamoto.
Sema hiyo ya mwisho inahitaji mjadala, ukimpata wa kukupa changamoto unamuona hakuheshimu katawaliwa na harakati za haki za wanawake na usawa, mara isomi na ujuaji!!

Hakuna mtu perfect aisee. Jilipue au baki na uoga wa kuoa ujilie vyako lakini ukipatikana usilie.
 
Orodhosha mapungufu mengi naomba yaanzie 7 kama kweli unafanya hip hop.
 
wewe kupitia iyo comment nimejua ni punguwan waheed!
 
huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
si umwambie hautakim
 
huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Duh duh kula tigo nenda zako ameshatoa uyoo ndyo maana anataka kukupa
 
...pole mzee mwenzangu,kiukweli mapungufu kla mtu anayo ila kwenye swala apo la ndoa naona umekwenda speed ya 5G nafikiri hukutenga ata muda wa kufanya karesearch kuchunguza vitabidi vya ndani..

mana wanke wapo vizur ktk kupretend mambo has wakati wa uchumba au urafiki ila ukiwaingia deep sana utaona ya firauni..
 
Yaani umeshindwa changamoto ndogo ndogo kama hizo, ndoani utaenda kufanya nini sasa?

Yaani hata ukimuoa hutazuia watu kamtongoza brother. Hizo ni moja ya changamoto za kutongoza au kuwa na mke mfanyakazi, mbaya zaidi mko ofisi moja! Jiandae kukosana na baadhi ya marafiki zako.

Kaa chini mtafakari myamalize, mbadilishie namba na kama una nia naye ya dhati mpige mimba na muoane.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…