Ushauri kuhusu flat screen TV

Chabo

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
1,098
Reaction score
1,176
Habarini wakuu:-katika zungukazunguka yangu leo kariakoo kwa ajili ya kununua tv,nimekutana na majina ya tv tofautitofauti(sumsung,TCL,singsung,ZEC,sony nk)naomba kujua vp kuhusu hizi zec,na tcl je zinaubora kama sumsung(maana sumsung ndo watu wengi wanasifia)
 
hizo za mchina sijajaribu ni bora chukua hiyo inayosifiwa
 
Jamani mchango wenu unahitajika
 
Kaka ukitaka tv bora chukua samsung,kama budget ndogo chukua hata samsung Z58 inch21
brand new 270,000/=,achana na hizo Tv za wachina vimeo vitupu
 
samsung ndio chaguo langu na haijaniangusha hadi sasa
 
Sawa kaka,lakini mbona china wanavitu vizuri pia mf.computer,ipad nk.labda hata hizi tz ni nzuri
Kaka ukitaka tv bora chukua samsung,kama budget ndogo chukua hata samsung Z58 inch21
brand new 270,000/=,achana na hizo Tv za wachina vimeo vitupu
 
Sawa kaka,lakini mbona china wanavitu vizuri pia mf.computer,ipad nk.labda hata hizi tz ni nzuri

The choice is yours si tunatoa tu ushauri.Just go n buy hizo flat za kichina
 
Mimi nakushari wakati wa kununua uchague LED TV, na sio LCD TV. Ni aina gani huo utakuwa uamuzi wako. Mimi napendelea sony!
kaka umenena nina kitu cha LED Samsung series 4, nimekitungua pale mlimani + kingamuzi nawahi sana kurudi ghetto now days
 
Me nataka tv iloungwa na DGITAL nasikia ughaibuni zinapatikana
 
TCL ni moja ya kampuni ya wachina ambayo inafanya vizuri sana kwenye technolojia ya mawasiliano.Hata bei ya bidhaa zake sokoni ni aghali inakimbizana sana na Samsung kwenye soko la huku Asia ya mashariki.

Lakini kibongo bongo watu bila kuona kitu cha Samsung au Sony hawakuelewi kabisa.
 
Ni kweli mkuu watu huwa wananunua majina si ubora.mfano ukibandua lebo ya tcl ukaweka panasonic mtu atakimbilia ile panasonic hata kama zinafanana kila kitu na bei ataongeza.
 
Ni kweli mkuu watu huwa wananunua majina si ubora.mfano ukibandua lebo ya tcl ukaweka panasonic mtu atakimbilia ile panasonic hata kama zinafanana kila kitu na bei ataongeza.

Hiyo inaitwa Company reputation,, watu tunakimbilia majina makubwa kwa sababu tuna uhakika hawatatuangusha as wana experience ya kutosha kwenye utengenezaji wa products zao
 
Kaka ukitaka tv bora chukua samsung,kama budget ndogo chukua hata samsung Z58 inch21
brand new 270,000/=,achana na hizo Tv za wachina vimeo vitupu

Hii ni led au lcd tu?
 
naombeni tofauti kati ya LED TV na LCD TV
 
Hiyo inaitwa Company reputation,, watu tunakimbilia majina makubwa kwa sababu tuna uhakika hawatatuangusha as wana experience ya kutosha kwenye utengenezaji wa products zao

Tena Sony ni uzoefu wa tangu mwaka 1949. Samsung ni wazuri kwa promo ila tv zao ni too saturated in color!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…