WADAU NAOMBA USHAURI JUU YA MBEGU BORA YA MNYAMA PENDWA KITUMOTO NA RATION ZA CHAKULA NA BAJETI,NATAKA KUANZA NA NGURUWE WAWILI WA KIKE AMBAO WANAKARIBIA KUPANDISHWA
Kuna mbegu wanaiita mbegu ndefu. Hao wanazaa watoto 12+
Chukula ni pumba, mashudu, majani, mabaki ya chakula,... Pretty much anything you can think.
Unafugia wapi?
Kuna mbegu wanaiita mbegu ndefu. Hao wanazaa watoto 12+
Chukula ni pumba, mashudu, majani, mabaki ya chakula,... Pretty much anything you can think.
Unafugia wapi?
*****, asante kwa taarifa.
Hao warefu nitawapata wapi?
Mmoja bei gani (nataka ambao wana mimba kabisa)
Wanachukua muda gani kufikia kuuzwa? (Yaani kuanzia kuzaliwa hadi kufikia kuwa marketable)
Biashara yake ikoje Dar?
Soko liko wapi?
Wanauzwa baada ya kuchinjwa kwa kilo na kilo moja sh. ngapi?
Kama ni mzima, mmoja anauzwaje (anapimwa) au anuzwa bila kupimwa na ni sh. ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.