Ushauri: Kaolewa na mwanaume lakini yupo mbali

Ushauri: Kaolewa na mwanaume lakini yupo mbali

mamalao

Senior Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
118
Reaction score
49
Nina rafiki yangu ambaye ni "married but single" yaani kaolewa lakini anaishi mbali na mumewe mikoa tofauti na wanaweza wasionane hata mwezi au miezi.

Sasa kanifuata ananiambia yani huwa anavumilia mpaka kuna kipindi anaeaza awe na kamchepua kozi anahisi hata mumewe huko nae pengine ana kipoozeo.

Utamshauri nini mtu huyu


 
tatizo ni kaz ndo zinazobana hasa mume wake!
 
Ndoa ya hivooo ndo nzuriiiiii! Tena tamu sanaaaaaaaaa! Mwambie she should be careful what she wishes for. Anahisi kuna mambo anaya kosa kosa, kumbe angejua hio ni bahati ajabu.

1. Kwanza hamchokani. Kila mkionana kama wapyaaaa vileeeeeeee. Game inanoga balaaaaaa! Mkikaa pamoja sana wanaume wanakinaigi, inakuwa sasa anabembelezewa papa. Ila huko mbali ana kimisi mwenzangu. THE SPARK NEVER FADES.

2.Kama upweke umezidi abebe mimba azae. Itamkeep company. Mambo ya michepuko atapata mtu ana ufundi wa hatarii kumzidi mume afu awe anamuona mumewekiwinguu. Michepuko inataka roho ngumu si kidogo.
 
tatizo ni kaz ndo zinazobana hasa mume wake!

Asiache hio kazi kabisaaaaaa. Akiacha kazi aje aishi na mume, huyo mume atamuona mchunguuuuuuuuu. Yaani asithubutuuuuu.
 
kwani anapoishi hakuna wanaume???? mwambie aache upumbavu acheki midume mingine impe mambo asiteseke ivo make anachokitaka kwa mume wake pia wengine watampa tena zaidi ya anavopewa na mume wake uyo asiye jua utamu wa papuchi.
 
kwani anapoishi hakuna wanaume???? mwambie aache upumbavu acheki midume mingine impe mambo asiteseke ivo make anachokitaka kwa mume wake pia wengine watampa tena zaidi ya anavopewa na mume wake uyo asiye jua utamu wa papuchi.

Hahahahaaaaaaaaaa! Shauri zinginze kama nguvu za giza.
 
Mwambie amufate huko huko.. mtaka cha uvunguni shart.... amufate tu mume wake sio lazima mume wake aje...
 
Mwambie aache kazi akakae nayo karibu ili akitaka tu anapewa. Hatatamani tena kuchepuka
 
Sasa wakati anamuoa hakujuwa changamoto za distance. Sasa akisafiri miezi sita si atakukuta umehamia kwa bwana na mimba juu. Punguza kuendeshwa na nyege fikiri kujenga familia. Yaani umeolewa unawaza usaliti. Utaweza kumlindia mumeo akiwa mgonjwa?
 
Mwezi tu?????

Akienda si mahana hadi papuchi inaomba pooo

Ina raha yake ati
 
Ndoa ya hivooo ndo nzuriiiiii! Tena tamu sanaaaaaaaaa! Mwambie she should be careful what she wishes for. Anahisi kuna mambo anaya kosa kosa, kumbe angejua hio ni bahati ajabu.

1. Kwanza hamchokani. Kila mkionana kama wapyaaaa vileeeeeeee. Game inanoga balaaaaaa! Mkikaa pamoja sana wanaume wanakinaigi, inakuwa sasa anabembelezewa papa. Ila huko mbali ana kimisi mwenzangu. THE SPARK NEVER FADES.

2.Kama upweke umezidi abebe mimba azae. Itamkeep company. Mambo ya michepuko atapata mtu ana ufundi wa hatarii kumzidi mume afu awe anamuona mumewekiwinguu. Michepuko inataka roho ngumu si kidogo.

Ahsante Lara mine.
 
Ndoa ya hivooo ndo nzuriiiiii! Tena tamu sanaaaaaaaaa! Mwambie she should be careful what she wishes for. Anahisi kuna mambo anaya kosa kosa, kumbe angejua hio ni bahati ajabu.

1. Kwanza hamchokani. Kila mkionana kama wapyaaaa vileeeeeeee. Game inanoga balaaaaaa! Mkikaa pamoja sana wanaume wanakinaigi, inakuwa sasa anabembelezewa papa. Ila huko mbali ana kimisi mwenzangu. THE SPARK NEVER FADES.

2.Kama upweke umezidi abebe mimba azae. Itamkeep company. Mambo ya michepuko atapata mtu ana ufundi wa hatarii kumzidi mume afu awe anamuona mumewekiwinguu. Michepuko inataka roho ngumu si kidogo.

watu huwa hawaelew sana raha ya distance!!
halafu shangaa mwezi tu ikiwa mwaka si tutakuta mtoto huyu!!?
 
Huyo nae ana yake anataka kuchepuka kwanini amuhisi mwenzake michepuko tu
 
Back
Top Bottom