ushauri ni pesa tu mafuta yapo petrol station vipuli vipo madukani ukikosa unaagiza. Watu wanazikimbia brevis ila nina mshkaji wangu kaitoa japani mbichii na hawazi wala nn.
Wewe ni yule uliepata mkopo toka kampuni yako ya vifaa vya kuchorongea mashimo,nakumbuka ulisema utanunua na kila nkipita naiona mlangoni kwako,ya rangi nyeusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.