MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Simu yangu aina ya Nokia 210 ina matatizo lukuki kama ifuatavyo:
1. Inapoteza meseji
2. inagoma kufungua intenet
3. inapoteza majina na namba za watu
4. imepoteza app ya whatsapp
Naomba ushauri wa kitaalamu ni nini cha kufanya.View attachment 126469
1. Inapoteza meseji
2. inagoma kufungua intenet
3. inapoteza majina na namba za watu
4. imepoteza app ya whatsapp
Naomba ushauri wa kitaalamu ni nini cha kufanya.View attachment 126469