Ushauri juu ya kozi

Ushauri juu ya kozi

Devyson Rodgers

New Member
Joined
Aug 23, 2022
Posts
2
Reaction score
2
Jamani naombeni ushauri, Mimi nimechaguliwa UDISM course ya "bachelor of art in language studies, nlikua naomb mnisaidie kuniambia kama nitasoma hiyo kozi nitafanya kazi gani baadae au nitakuwa nani?
 
Mi pia nilisoma hio, waweza kuwa mhariri wa miswada na makala mbalimbali, mtayarishaji wa kamusi, mkalimani na mtafsiri wa lugha(hutegemea utasoma lugha gani kati ya kifatansa, kiswahili, na kingereza) pia waweza kuwa mkufunzi wa masomo ya mawasiliano kama ukihitimu na GPA kubwa
 
Mi pia nilisoma hio, waweza kuwa mhariri wa miswada na makala mbalimbali, mtayarishaji wa kamusi, mkalimani na mtafsiri wa lugha(hutegemea utasoma lugha gani kati ya kifatansa, kiswahili, na kingereza) pia waweza kuwa mkufunzi wa masomo ya mawasiliano kama ukihitimu na GPA kubwa
Shukran saanah
 
Usisome jikite kwenye biashara hiyo hela na muda unaopoteza havita rudi tena .Ukija kugundua Elimu inatufanya tuwe wa jinga na maskin umechelewa
 
Usisome jikite kwenye biashara hiyo hela na muda unaopoteza havita rudi tena .Ukija kugundua Elimu inatufanya tuwe wa jinga na maskin umechelewa
Kwani akisoma hatafanya biashara... tulia wewe form fwiriii failure
 
Jamani naombeni ushauri, Mimi nimechaguliwa UDISM course ya "bachelor of art in language studies, nlikua naomb mnisaidie kuniambia kama nitasoma hiyo kozi nitafanya kazi gani baadae au nitakuwa nani?
Umechaguliwa au umechagua mwenyewe?
 
Mi pia nilisoma hio, waweza kuwa mhariri wa miswada na makala mbalimbali, mtayarishaji wa kamusi, mkalimani na mtafsiri wa lugha(hutegemea utasoma lugha gani kati ya kifatansa, kiswahili, na kingereza) pia waweza kuwa mkufunzi wa masomo ya mawasiliano kama ukihitimu na GPA kubwa
Unamaanisha 3.5 sio
 
Usisome jikite kwenye biashara hiyo hela na muda unaopoteza havita rudi tena .Ukija kugundua Elimu inatufanya tuwe wa jinga na maskin umechelewa
Unaweza ukawa unasoma huku unafanya biashara pia
 
Ushauri wangu kwa wanaotarajia kuingia vyuoni, SOMENI PROGRAM MNAZOZIFAHAMU NA KUZIPENDA, MSISOME KWA AJILI YA AJIRA

Kwa Sasa Kama huna connection hakuna program nzuri, walikuwa walimu na watu wa afya zamani (walikuwa na uhakika asilimia 80 ya kupata ajira) lakini Sasa hakuna hilo tumejazana tu mtaani.


Kasome program unayopenda Ila unapofika chuo tu tafuta idea ya kufanya na ufanye wakati bado upo chuo (huku unasoma), Hadi ukimaliza miaka mitatu ai zaidi utakuwa sio mgeni mtaani
 
Mi pia nilisoma hio, waweza kuwa mhariri wa miswada na makala mbalimbali, mtayarishaji wa kamusi, mkalimani na mtafsiri wa lugha(hutegemea utasoma lugha gani kati ya kifatansa, kiswahili, na kingereza) pia waweza kuwa mkufunzi wa masomo ya mawasiliano kama ukihitimu na GPA kubwa
Mkuu, nje ya ukufunzi hiyo kozi wanaajiriwa ajira kudumu katika taasisi gani? Au ni deiwaka tu?
 
Back
Top Bottom