Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
pongezi zako kaka kwa kuwasilisha hoja binafsi juu ya zao la mkonge, in the very beggining umeona jinsi serikali inavyotaka leta siasa juu ya hili. ushauri wangu kwako: serikali imeshindwa simamia sera zake, kwenye kilimo tunaona jinsi sera ya kilimo kwanza inavyochechemea, i doubt kama hoja yako itatekelezwa kama ungevyopenda, ushauri wangu kwako ni bora utafute njia mbadala ya kukuza uzalishaji wa zao la mkonge, hata wewe mwenyewe kwa kipato chako waweza onyesha mfano.