WanaJF tafadhali naomba ushauri mwenu.Ninapenda kununua toyota Vitz cc 1000 ili kupunguza matumizi ya mafuta. Kwa mwnye uzoefu, ninaomba kujua ubora na efficiency katika matumizi ya mafuta pamoja na upatikaji wa spare parts.
WanaJF tafadhali naomba ushauri mwenu.Ninapenda kununua toyota Vitz cc 1000 ili kupunguza matumizi ya mafuta. Kwa mwnye uzoefu, ninaomba kujua ubora na efficiency katika matumizi ya mafuta pamoja na upatikaji wa spare parts.
Vitz huwa ni cc 900, matumizi ya mafuta ni safi sana wala usitie shaka, spea zipo nyingi tu kwenye maduda ya spea zilizokwishatumika (used). Ninaitumia ni mwaka wa tatu sasa sijawahi ona shida yoyote, swala ni utunzaji bifsi na kuijali gari yako kama unavyojijali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.