Habari zenu wana JF.
Naombeni mnisaidie ushauri kwa wale mliowahi kufanya biashara katika minada mbali mbali hasa kwa Dsm mpaka Kibaha.
Nataka kuanza kuzungusha bidhaa kwenye minada je inalipa? Au ni bora nitafute meza tu sokoni?!
Na vipi kwenye minada utaratibu upoje pengine kuna kulipia ushuru? Na vipi utaratibu wa kupata meza au sehemu ya kuweka bidhaa na changamoto za huko ni zipi?
Naomba kuwasilisha.
Naombeni mnisaidie ushauri kwa wale mliowahi kufanya biashara katika minada mbali mbali hasa kwa Dsm mpaka Kibaha.
Nataka kuanza kuzungusha bidhaa kwenye minada je inalipa? Au ni bora nitafute meza tu sokoni?!
Na vipi kwenye minada utaratibu upoje pengine kuna kulipia ushuru? Na vipi utaratibu wa kupata meza au sehemu ya kuweka bidhaa na changamoto za huko ni zipi?
Naomba kuwasilisha.