Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,722
- 1,511
Dawa ya moto ni moto au kwa mwenyekiti utaonekana kiherehere si unajua mtaani noma sana we acha maneno weka Mziki sauti mpaka mwisho alafu wewe unaenda kukaa nyumba ya 10 kusikiliza
Nafuatilia thread nipate mrejesho nami yupo ananisumbua sana na misauti ya redio yake mpaka huwa muda mwingine natoka nakaa nje
Looh! hilo si nitafanya mtaa mzima ukeshe kwa disco maana siku hizi mziki tu sherehe watu wanajipangiaUnajua oa kupata yale maspika ya matangazo??????? Ila lazima uingie gharama.....
Unamfubgia like na segere la usiku kucha nwenyewe unaenda kulala hoteli ya jirani.....
Siku 1 tu harudii tena
Utaomba radhi majirani kesho yake......Looh! hilo si nitafanya mtaa mzima ukeshe kwa disco maana siku hizi mziki tu sherehe watu wanajipangia
hahaaUtaomba radhi majirani kesho yake......
PoleeNimeshindwa hii inshu niiweke kwenye jukwaa gani, nikaona hata hapa si mbaya sana, nina Jirani yangu tunaishi nyumba tofauti lakini ziko karibu, yeye kila ikifika saa moja asubuhi ni mama wa nyumbani huamka na kufungulia sauti ya juu sana kiasi kwamba kama ulikuwa umelala lazima utaamka, imekuwa ni tabia yake ya siku nyingi, nikaamua nimfuate kwa ustaarabu nimwambie naomba awe anaweka sauti ya chini, akanielewa baada ya wiki akarudia tena.
Nikamfuata kwa Mara ya pili nikamuomba tena na anapoweka sauti ya juu, ni kuanzia SAA moja asubuhi hazimi redio hadi SAA moja jioni ndio hupunguza sauti na kuweka ya kawaida hata akienda Dukani au mbali kwa masaa kadhaa, ataacha ikiwa hivo kitendo hiki kimenichosha hadi nimeamua yafuatayo:
Nimeamua ikifika usiku wakati yeye ndio amepunguza sauti na mimi ndio niwashe sasa yangu coz anawahi sana kulala ili nimsumbue na yeye apate kero kama tunayopata sisi, je nitakuwa nimefanya makosa?
Naomba mnipe ushauri njia ya kufanya tafadhali, ukizingatia mama mwenyewe ni mjamzito muda wowote anajifungua, nishawaza tena nimsubiri ajifungue ili akiwa na mtoto mdogo hatataka kelele na mimi ndio niwashe sabufa yangu sasa, nitakuwa nimekosea?
fanya ivoHahahaha
Nimeshindwa hii inshu niiweke kwenye jukwaa gani, nikaona hata hapa si mbaya sana, nina Jirani yangu tunaishi nyumba tofauti lakini ziko karibu, yeye kila ikifika saa moja asubuhi ni mama wa nyumbani huamka na kufungulia sauti ya juu sana kiasi kwamba kama ulikuwa umelala lazima utaamka, imekuwa ni tabia yake ya siku nyingi, nikaamua nimfuate kwa ustaarabu nimwambie naomba awe anaweka sauti ya chini, akanielewa baada ya wiki akarudia tena.
Nikamfuata kwa Mara ya pili nikamuomba tena na anapoweka sauti ya juu, ni kuanzia SAA moja asubuhi hazimi redio hadi SAA moja jioni ndio hupunguza sauti na kuweka ya kawaida hata akienda Dukani au mbali kwa masaa kadhaa, ataacha ikiwa hivo kitendo hiki kimenichosha hadi nimeamua yafuatayo:
Nimeamua ikifika usiku wakati yeye ndio amepunguza sauti na mimi ndio niwashe sasa yangu coz anawahi sana kulala ili nimsumbue na yeye apate kero kama tunayopata sisi, je nitakuwa nimefanya makosa?
Naomba mnipe ushauri njia ya kufanya tafadhali, ukizingatia mama mwenyewe ni mjamzito muda wowote anajifungua, nishawaza tena nimsubiri ajifungue ili akiwa na mtoto mdogo hatataka kelele na mimi ndio niwashe sabufa yangu sasa, nitakuwa nimekosea?