KIBARAone
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 642
- 243
Kwa heshima na taadhima nakiomba chama changu cha CHADEMA kikubali kumpa huyu Mwana harakati jimbo hilo na kwa jinsi alivyojipanga hilo jimbo litaenda UKAWA.
Nimeamua kutoa ushauri wa aina hii kutokana na uwezo mkubwa aliona katika kujenga HOJA katika kuchambua mambo ya kisiasa na kielimu. Hivyo nasi ingependeza zaidi kwenye bunge lijalo awe miongoni mwa wabunge machachari katika bunge la jamhuri ya Tanzania.
Nimeamua kutoa ushauri wa aina hii kutokana na uwezo mkubwa aliona katika kujenga HOJA katika kuchambua mambo ya kisiasa na kielimu. Hivyo nasi ingependeza zaidi kwenye bunge lijalo awe miongoni mwa wabunge machachari katika bunge la jamhuri ya Tanzania.