Miss lover
Member
- Jul 25, 2014
- 47
- 6
- Thread starter
-
- #61
Amekuchoka na hakutaki ndo maana ameweka picha ya mkewe na wanawe FB ili ujue kuwa yeye ana familia. Pole lakini huo ndo ukweli, alishindwa kukuambia live kaona akupe ujumbe huko huko Fb. Vipi lakini status yako ilikuwaje FB?Au ndo zile 'In an open relationship with....' Kama vipi fanya fasta ubadili status yako mana daaah!!!
Thanx so much be blessed
mgande huyo huyo, ila tutake radhi kuwa hatufai
Asante mkuu una hekima sana
Thank you mumy!!
Don't worry mumy you will overcome all of this!!
Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana
ila mie sio huyo jamaa mdanganyifu ...,miss lover unabahati upewa hadi link
Umemjua kwa muda gani? Ni kwamba umemparamia. Na yeye anakutumia. Kwanza kakudanganya kuhusu ndoa, watoto na dini pia. Kikubwa kaidanganya hadi familia yako. Cha kufanya, achana naye, mme wa mtu huyo, au kama uko tayari kuwa na mtu mwenye watoto wawili tayari, kila la kheri ila sikushauri hivyo. Una miaka ishirini, bado mdogo sana wewe!!Taratibu utapata wako. Huyo mtoe akilini, Ni mme wa mtu pia kawadanganya wote kwenye familia yako. HAFAI.
Fb aliyeweka ni mkewe si yeye but alitoa status ktk wachangiaj kuja kuangalia mmjoa mwanamke kumfatilia ndo nikagundua ni mkewe kaweka picha zao na watoto
yani mpaka hapo bado unaona unapendwa.....?......atakupa mimba akukimbie ubaki kuangaika na mtoto.....tulia achana na huyo mme wa mtu atakuharibia maisha bure.....Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana
Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana
ila mie sio huyo jamaa mdanganyifu ...,
Hatamwacha mkewe kwa ajili yako. Labda ukubali kuwa mchepuko wake basi.
u should leave him unless you want to be lied to and a second priority all your life coz alianza na uongo even the end will be the same. ps;if he loved you angeweka picha yako fb,wake up he's a player and you were just his playing field.
Sina imani na nyie tena
Usiusemee moyo wa mwenzi wako.