Miss lover
Member
- Jul 25, 2014
- 47
- 6
- Thread starter
-
- #41
Kumbe hata jina lake nilidanganywa nikajiona nimependwa nasiwezi achwaa..............................pole bahna wakina yahaya ni wengi hapa town tena mtupilie mbali uyoo kaa shombo la samaki anuke uko jalalani!
Hahahahahahahahaaaaa...............unaniachaga hoi best wangu
mhm mapya mie najua wee unapenda vidume wanao hudumia na jamaa ana hudumia kisawa nikajua utampa ushauri wa kuendelea nae amchune
Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana
hahahha sawa mr chairman kimya kikizidi nahamia airtel lol
Safi sana Kiongozi, nashukuru sana Kiongozi wanguSalama kabisa mkuu.
Za siku mingi?
Miss lover unabahati upewa hadi link
binti anahitaji penzi na si pesa .... kama ni pesa ningemwambia endelee kukata kiuno kisawasawa mpaka paeleweke
Asante nimeamini matapel wa mapenz wapo
Safi sana Kiongozi, nashukuru sana Kiongozi wangu
Teh!teh!teh! wewe tena jirani yangu, usiogope uko na mr chair man, itakuibukia huko huko kwa safe mood kama window xp!
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 20 nina mpenz wangu ambaye nampenda sana, na yeye pia ananipenda sana na mpaka nyumbani wameshamjua, na ananihudumia kwa kila kitu ninachotaka. Tulipoanza mahusiano nilimuuliza kama kaoa akakataa ila akasema ana mtoto mmoja, sasa hivi juzi nimeingia fb nikakuta picha yake mkewe na watoto wao wawili, na ahadi yetu ni kufunga ndoa na kumbe dini alinidanganya yeye muislam mimi mkristo na alisema yeye mkristo nifanye nini jamani maana hapa nilipo hadi nimeumwa mwenzenu baada ya kujua ni mume wa mtu.
binti anahitaji penzi na si pesa .... kama ni pesa ningemwambia endelee kukata kiuno kisawasawa mpaka paeleweke
Nishaona wanaume wote hamfai tena maana dah
Kama ulikua aujui mumy ndo ivyo wapo wengi tena sana na wanajua kutunza balaa mpaka wasema hapa yes ukija ngastuka ni too late hahahah!!
Yaani nisawa na mtoto akiwa nyumbani mwenye tabia nzuri kama yeye hakuna akitoka nje sasa mmmmmmmh mama yake akija kupewa habari kuwa mwanao anatabia chafu huwa mzazi anakuja juu, sasa ni kama huyo amekuonyesha mapenzi weee hadi basi sasa umekuja kuujua ukweli lazima itakuwia vigumu kuukubali kutokana na na alivyokua anakutreat vizuri.
So mumy you have to be careful there is a lot of Mayahaya in town.
Mwambie atafute pesa.
Za weye?
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 20 nina mpenz wangu ambaye nampenda sana, na yeye pia ananipenda sana na mpaka nyumbani wameshamjua, na ananihudumia kwa kila kitu ninachotaka. Tulipoanza mahusiano nilimuuliza kama kaoa akakataa ila akasema ana mtoto mmoja, sasa hivi juzi nimeingia fb nikakuta picha yake mkewe na watoto wao wawili, na ahadi yetu ni kufunga ndoa na kumbe dini alinidanganya yeye muislam mimi mkristo na alisema yeye mkristo nifanye nini jamani maana hapa nilipo hadi nimeumwa mwenzenu baada ya kujua ni mume wa mtu.
Only a pleasureIam happy to see you again stay blessed!
Na mimi nakusubiri unipende.