Mwambie jamaa amwambie binti ameamua kusitisha ndoa kwanza au kuisogeza mbele.
Hlf asubiri reaction ya binti.
Kama kweli ni pepa zinazingua binti ataomba msamaa na kujirekebisha
Kama ni uzushi binti ataona poa tu kashushiwa mzigo ,maana nahisi binti hataki ndoa ana mtu mwingine