Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Dah, pole sana ndg. Cha msingi vumilia tu kwa kipindi hiki kigumu then baadae utafute ajira au njia ya kupata ada alafu uanze tena diploma kwa kozi nyingine, ukimaliza diploma unaweza ukaaply bachelor na ukaendlea na accountancy ... Cha msingi usikate tamaa na umshukuru mungu kwa ulichokipata kwa7bu kuna wengine hawakufanikiwa kupata hata hiyo GPA uliyopata.. Kama una malengo na nia, usiogope kuanza upya coz hata waswahili walisema kuanza upya si ujinga.