Stability
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 171
- 332
Habari wana Ndugu,
Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya uwezo wangu.
Nina Tsh 14 million (hapo nishatoa gharama za kodi ya frem, urekebishaji wa frem, usafiri wa mzigo, Tax clearance, akiba ya kuishi siku kazaa, n.k), Location ni jijini Mwanza urban.
Kwa kutumia uzoefu wenu na uchambuzi wa biashara mgenishauri niinvest katika idea ipi kati ya hizo hapo chini. Biashara itakayo nipa return ya uhakika wa kuendesha life yangu.
IDEAS ZILIZOPATA:
1: Aina zote za Vipodozi na Urembo tofauti tofauti (wigs, weavings, saa za mkononi, etc)
2: Duka maalum linalo deal na aina zote za Vitasa, Komeo na Bawaba tu za milango.
3: Vifaa vya umeme (installation, wiring)
4: Appliances za umeme za majumbani nianze na items kama TV, Radio, Pasi, Blenders, jagi la umeme...
5: Maduka mawili katika location tofauti yanayo deal na uwakala wa pesa mitandao ya simu (V'COM, A'TEL, TIGO...) na banks za CRDB, NMB.
6: Pazia za kisasa, sheers, mazulia ya sakafu, mazulia ya mlangoni (door rugs), bomba za pazia na fittings zake, mashuka special (set), nets, blankets
Pia kama unayo idea nyingine inayoendana na huo mtaji wangu, nitashukuru ukinisaidia hiyo idea.
Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya uwezo wangu.
Nina Tsh 14 million (hapo nishatoa gharama za kodi ya frem, urekebishaji wa frem, usafiri wa mzigo, Tax clearance, akiba ya kuishi siku kazaa, n.k), Location ni jijini Mwanza urban.
Kwa kutumia uzoefu wenu na uchambuzi wa biashara mgenishauri niinvest katika idea ipi kati ya hizo hapo chini. Biashara itakayo nipa return ya uhakika wa kuendesha life yangu.
IDEAS ZILIZOPATA:
1: Aina zote za Vipodozi na Urembo tofauti tofauti (wigs, weavings, saa za mkononi, etc)
2: Duka maalum linalo deal na aina zote za Vitasa, Komeo na Bawaba tu za milango.
3: Vifaa vya umeme (installation, wiring)
4: Appliances za umeme za majumbani nianze na items kama TV, Radio, Pasi, Blenders, jagi la umeme...
5: Maduka mawili katika location tofauti yanayo deal na uwakala wa pesa mitandao ya simu (V'COM, A'TEL, TIGO...) na banks za CRDB, NMB.
6: Pazia za kisasa, sheers, mazulia ya sakafu, mazulia ya mlangoni (door rugs), bomba za pazia na fittings zake, mashuka special (set), nets, blankets
Pia kama unayo idea nyingine inayoendana na huo mtaji wangu, nitashukuru ukinisaidia hiyo idea.