Ushauri: Huyu jamaa atampa mkopo?

Ushauri: Huyu jamaa atampa mkopo?

Ha hah na huyo dada nae ndez anahamaje kwao kisa ahad ya duka kwan angekaa kwao duka lisingefunguliwa
mwanaume kashindwa kutoa hela ya mafuta umetaka na ya saloon kashindwa pia hajiongezi tu acha aendelee kutoa papuchi bure na usikute kwao kaaga kuwa atafunguliwa duka na jamaa na kurudi bila kitu aibu
 
mwanaume kashindwa kutoa hela ya mafuta umetaka na ya saloon kashindwa pia hajiongezi tu acha aendelee kutoa papuchi bure na usikute kwao kaaga kuwa atafunguliwa duka na jamaa na kurudi bila kitu aibu
Ha ha ha ha mwache mtu ajilie vya mkopo tena vitamu hvyo akimalizana nae anavutwa mwengne kipind tunasubiria mzigo utoke dubai wa duka
 
Ha ha ha ha mwache mtu ajilie vya mkopo tena vitamu hvyo akimalizana nae anavutwa mwengne kipind tunasubiria mzigo utoke dubai wa duka
hahahah et vitamu ila kweli ujue unajipatia papuchi mda wowote unaotaka kuna nn tena
 
hahahah et vitamu ila kweli ujue unajipatia papuchi mda wowote unaotaka kuna nn tena
Alah tena unaivuta tu inakuja ukijipindua imoo halafu unasema kesho tutaenda kuangalia frame ya duka enhee
 
Alah tena unaivuta tu inakuja ukijipindua imoo halafu unasema kesho tutaenda kuangalia frame ya duka enhee
hahahah asubilie duka la kuchorwa wajinga hawaishi na wanawapata
 
Mbuzi kafia kwa muuza supu mapenzi hayaendeshi kwa kuombana ushauri yanaendeshwa kwa kujua thamani yako yaani (kujitambua) maana hata ukimshauri vipi asipo jitambua utakuwa unasikiliza CD empty
 
Bado anamtafutia pesa ya vibali na makato ya TRA avumilie tu, si unajua siku hizi hakuna njia za mkato...
 
Mbuzi kafia kwa muuza supu mapenzi hayaendeshi kwa kuombana ushauri yanaendeshwa kwa kujua thamani yako yaani (kujitambua) maana hata ukimshauri vipi asipo jitambua utakuwa unasikiliza CD empty
Hakutaka kuona mbali pia kilichomuhadaa ni hiyo ahadi ya pesa na lait huo ushauri angeutaka kabla ya kuenda angalau ushauri ungekuwa na faida hapo kilichobaki ni maamuzi yake binafsi.
 
Hakutaka kuona mbali pia kilichomuhadaa ni hiyo ahadi ya pesa na lait huo ushauri angeutaka kabla ya kuenda angalau ushauri ungekuwa na faida hapo kilichobaki ni maamuzi yake binafsi.
Kweli mkuu maana kuna vitu havihitaji nguvu kuvifanya hata akishauliwa vipi asipo jiongeza tutakuwa tunapoteza wakati kumshauri
 
Duka lipo hayo mahitaj yake y mafuta hayamaanishi hakun duka
 
Back
Top Bottom