Ushauri: Huyu jamaa atampa mkopo?

Ushauri: Huyu jamaa atampa mkopo?

jui

Senior Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
103
Reaction score
101
Kuna mdada kanijia asubuhi anataka ushauri eti kuna jamaa alimuahidi mtaji miezi mitano iliyopita akamwambia atampa milioni moja na nusu baadae akamwambia atamfungulia duka kwa madai yake anauwezo mkubwa tu.

Baadae akamwambie aage home anaenda kupanga ili ajisogeze kwa mshkaji msichana akakubali, tangu ahamie kwa mshkaji ni mwezi sasa, walienda shopping msichana akanunuliwa mafuta bahati mbaya yamemtoa rashez akamwambia jamaa mafuta hayanifai nataka mengine jamaa akachomoa.

Lingine kamuomba hela ya saloon wiki ya pili sasa jamaa kachomoa tena! Kaja kuniomba ushauri hapo kuna duka kweli au analiwa tuu? Nimemwambia anipe muda nitafakari nitampa jibu.

Njooni mtoe ya moyoni kuhusu kijanga hiki
 
Mwambie arudi nyumbani akaombe msamaha wazazi wake
 
  • Thanks
Reactions: jui
Kuna mdada kanijia adubuhi anataka ushauri eti kunajamaa alimuahidi mtaji miezi mitano iliyopita akamwambia atampa mil moja na nusu baadae akamwambia atamfungulia duka kwa madai yake anauwezo mkubwa tu, baadae akamwambie aage hm anaenda kupanga ili ajisogeze kwa mshkaji demu akakubali, tangu aahamie kwa mshkaji ni mwezi sasa, walienda shopping dem akanunuliwa mafuta bahati mbaya yamemtoa rashez akamwambia jamaa mafuta hayanifai nataka mengine jamaa akachomoa lingine kamuomba hela ya saloon wiki ya pili sasa jamaa kachomoa tena!! Kaja kuniomba ushauri hapo kuna duka kweli au analiwa tuuu???? Njmemwambia anipe muda ni tafakari ntampa jb njooni mtoe ya moyoni kuhusu kijanga hiki

Uzi wako ni very harmful kwa Great Thinkers tuliojazana humu.
 
Angetulia tu home angemfungulia Hilo duka kama Ana nia kweli si lazima akae

Mwambie arudi nyumbani faster kujipeleka hivyo ndo nini sasa
 
Hahahah
Yani umeombwa ushauri ukamwambia ngoja utafakari kama kuna duka ama lah!

It's like kakutongoza yupo anasubiri jibu sasa

Mwambie hakuna duka hapo analiwa tu
 
Mmmhh jamani watoto wa kike wana tabuuuuu......
Yaani apo alijipeleka kwa ajili ya duka mmh
 
Kwahyo wewe ni mpangaj mwenzie au Kaka jirani
achana nae huyo eb toa ushauri kuna dalili ya duka hapo nimecheka sana hao ndio wanaume alikua anataka kujipatia papuchi ya bure tu
 
achana nae huyo eb toa ushauri kuna dalili ya duka hapo nimecheka sana hao ndio wanaume alikua anataka kujipatia papuchi ya bure tu
Ha hah na huyo dada nae ndez anahamaje kwao kisa ahad ya duka kwan angekaa kwao duka lisingefunguliwa
 
Back
Top Bottom