Ushauri: Hataki tutumie kondom

Ushauri: Hataki tutumie kondom

"msomi gani ujui kuna vipimo vya nyumbani na unaweza mpima hata mtu bila yeye kusanuka au bado unamfumo ule wa kupanga foleni angaza?
Mkuu hatuishi pamoja. Kila mtu anaishi kwa wazazi wake. Pia,kipimo cha huu ugonjwa huitaji damu ya mhusika. Sijui nitafanya nini niweze kumuweza na hatimaye tukapima.
 
dogo ngoja nikupe ukweli mchungu. HIV ipo Tanzania kabla hujazaliwa. kwa hiyo kuna watu na vijana wa umri wako ni waathirika kutoka Kwa mama zao na hawatumii dawa.
wako na ni wazima kabisa. wengine wa natumia dawa na huwezi kuwagundua. kama umeridhika na kuishi na vvu jilipue tu lakini kama ni muoga nendeni mkapime kwanza. yawezekana hata wewe ni muathirika!! kwani unajua siri za wazazi wako wewe!??

kuna wanawake lakini huwa wanapenda utamu wote waupate na sio wakuambukize vvu. niliwahi kutana naye mmoja wa hivyo tukapima na tukafaidishana.

kupima kuna umuhimu aisee
 
Ni kweli mkuu lakini ikitokea anao si nitaukwaa? Mkuu kiukweli sipendi hilo litokee!

DOGO ACHA UNGESE WEWEE...

kwahiyo wewe ndio mwanadamu wa mbegu unataka uishi milele?...au wewe ni wa thamani kuliko nyerere, mandela kwame nkurumah, patric lumumba, che guevara, tupac, notorious big, michael jackson, bob marley na wengineo weeeeeeeeeengi ambao sijawataja.

acha uoga wewe kufa utakufa tuu na ukifa hujatimiza ndoto zako watatimiza waliobakia....nakuona unavyomsifia binti kisha unamuogopa kumla...nipe namba zake nikusaidie kumla kisha hiyo mei 2016 akimaliza shule nikupe utoe bikra ya tigo maana hiyo mie sitoitoa maana imani yangu hainiruhusu kula vitu hizo.

poleeee.....lakini nimekuambia ukweli na utakuwa umekuchoma mpaka kumoyoooo.
 
we jikakamue mwambie mkapime broo... we kidume bhana... ckushaur kujilipua....
 
Back
Top Bottom