Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,795
Hapana mkuu sio ukaliMkuu mbona unakuwa mkali?![]()
Ila mi nilikuwa najua bikra inatoka na damu kidogo
Sasa yeye haikuwepo kabisa ndio maana nikauliza tu kwa anayejua
Hapana mkuu sio ukaliMkuu mbona unakuwa mkali?![]()
Kwahiyo ya huyu mleta mada ndo iko wapi hapo?
Wewe ulitokwa na damu?Kwanini damu haikutoka?
Tuanzie hapo kwanza