nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,684
- 9,863
Wakuu bukheri?
Namuombeni mpate kunijuza...Kuna ma Ford chakavu nimeyafuma pahala.
Nia yangu nataka yaleta nyumbani TZ.......Sasa hofu yangu ni hapo bandarini pamoja na watoza ushuru TRA ndio wananinyima RIZKI.
Kuna namna ya kupiga zurzunga au mazobanangai wataleta USHIRIKINA?
Namuombeni mpate kunijuza...Kuna ma Ford chakavu nimeyafuma pahala.
Nia yangu nataka yaleta nyumbani TZ.......Sasa hofu yangu ni hapo bandarini pamoja na watoza ushuru TRA ndio wananinyima RIZKI.
Kuna namna ya kupiga zurzunga au mazobanangai wataleta USHIRIKINA?