malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,717
- 4,295
Habari wakuu najambo nataka kushare nanyi mnipe uzoefu na ushauri
Nina Babu yangu ambae anakua nimjomba wa baba ana Umri wa miaka77,huyu Babu yangu anawatoto walio hai 6 kati ya watoto8 alio kuwa nao ... watoto wake mwenye Umri mdoggo wamwisho anaumri wa miaka36,,huyu
Babu yangu mkewe hawa watoto walitalikiana miaka mingi ila nimarrehemu kwa Sasa,
Baba yangu alivotalikiana akaja kuoa mwaka1990 na pia mke wa pili wakatalikiana 2016 ,,,hapo Babu akiwa Umri wamiaka 67 akawa anaishi mwenyewe, watoto wake wote hakuna hata mmoja alieonyesha kuwa atamchukua baba Yao wakaishi nae au kumtafutia mtu wakukaa nae
Baba yangu ambae kwake anakua mjomba akamchukua kuja kuishi nae kwake kaaa nae takribani miaka 9 akimhudumia kwa Kila kitu Huku watoto wake Babu Wakiwa hawana msaada wowote na wanamiasha Yao na familia zao
Sasa huyo huyo Babu yangu tumemchukua kwenda kufanya checkup kwawatoto wake baada yakua na bima kubwa ila hakuwahi kuitumia tukaona tumpeleke huko afanye checkup ya afya,,Sasa huyu Babu yangu ana asili ya uwongo mwingi,Sasa huko alipofika kawajaza maneno ya uwongo na watoto wake asili Yao hiyo hiyo uwongo , kiasi watoto wameungana na baba Yao
Sasa watoto wake wote ,ambao wote ni watu wazuma wametutangazia chuki na ubaya kwao wote na kwandugu wengine na wamemzuia Baba Yao kurudi baada yakuona tayar anabima hawatapata shida kumuuguza
Wakuu mnadeal vipi na nandugu,ndugu wa namna hii niwakuachana nao kuvunja udugu au kuwapotezea kudeal maisha mengine?
Nina Babu yangu ambae anakua nimjomba wa baba ana Umri wa miaka77,huyu Babu yangu anawatoto walio hai 6 kati ya watoto8 alio kuwa nao ... watoto wake mwenye Umri mdoggo wamwisho anaumri wa miaka36,,huyu
Babu yangu mkewe hawa watoto walitalikiana miaka mingi ila nimarrehemu kwa Sasa,
Baba yangu alivotalikiana akaja kuoa mwaka1990 na pia mke wa pili wakatalikiana 2016 ,,,hapo Babu akiwa Umri wamiaka 67 akawa anaishi mwenyewe, watoto wake wote hakuna hata mmoja alieonyesha kuwa atamchukua baba Yao wakaishi nae au kumtafutia mtu wakukaa nae
Baba yangu ambae kwake anakua mjomba akamchukua kuja kuishi nae kwake kaaa nae takribani miaka 9 akimhudumia kwa Kila kitu Huku watoto wake Babu Wakiwa hawana msaada wowote na wanamiasha Yao na familia zao
Sasa huyo huyo Babu yangu tumemchukua kwenda kufanya checkup kwawatoto wake baada yakua na bima kubwa ila hakuwahi kuitumia tukaona tumpeleke huko afanye checkup ya afya,,Sasa huyu Babu yangu ana asili ya uwongo mwingi,Sasa huko alipofika kawajaza maneno ya uwongo na watoto wake asili Yao hiyo hiyo uwongo , kiasi watoto wameungana na baba Yao
Sasa watoto wake wote ,ambao wote ni watu wazuma wametutangazia chuki na ubaya kwao wote na kwandugu wengine na wamemzuia Baba Yao kurudi baada yakuona tayar anabima hawatapata shida kumuuguza
Wakuu mnadeal vipi na nandugu,ndugu wa namna hii niwakuachana nao kuvunja udugu au kuwapotezea kudeal maisha mengine?