mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF napenda kuwaomba sana tuliiangalie hili kwa wabunge wa CHADEMA vijana,wabunge hawa wamekuwa wapambanaji wazuri sana Bungeni kwa umoja wao,mipango yao,na Upambanaji wao Bungeni ki taifa,Jambo moja kwenu (Wabunge)ni kutunza kumbukumbu na Ushahidi wa Kazi za Maendeleo Jimboni Sambamba na Uadilifu wa Fedha katika Halmashauri zenu,hii ni Silaha tosha kwa vita ijayo maana Wananchi watapenda kuona Maendeleo ya Majimbo ya CHADEMA yanakauwa mfano wakati wa kampeni za 2015,hata kama hamtagombea wengi wenu basi Fanyeni sana maendeleo ya miradi midogo na mikubwa ili picha na mabango yenu yawe kazi Zenu ifikapo 2015 Mungu awape mwanga
Nawasilisha....
Nawasilisha....