Ushauri: Anadai mtoto ni wa kwangu

Teh katika kitu ambacho wanawake wamewaweza ni hiki cha kuwabambikia watoto lol
 
shukran mkuu ila tatizo yeye analazimisha niwe karibu na mtoto wakati kwangu naona ni hatar sana ananiforce nimuweke kwenye mtandao kumuwish birthday dah hapo panakuwa magumu
Itakuwa mizimu ya kwenu inamsumbua sana, fanya mpango umuone tu mtoto
 
Muulize mamaako nin cha kufanya. Akina mama wana mipango mkakati ambayo huwez hata kufikiria
mkuu kumshirikisha bi mkubwa katika huu upuuzi ni ujinga wa kiwango cha lami na bado sijafikia uko bado niko katika barabara ya vumbi
 
Mhh kuna wanawake wanavimbwanga hatari sasa huyu nae anaakili timamu kweli?
 
Shimo la tewa linakuita.. Stop being a boy.. Be a man..

Hapo anakuvuta tu umpe wa pili

Jamaa angu kafikisha watatu.. Kwa staili hyo.. And simply mwanamke akamjibu kuwa hakutaka kuzaa na Wanaume tofauti.. Japo kaolewa mimba zote kabeba kwa mchizi..
Be careful with that woman
 
Duh hatar yaan apa ntakaa nae mbali kabisa mita 90 kama za kipindi kile cha uchaguzi
 
mkuuu icho ndo kinanifanya nasita na kumpotezea ila cha ajabu huwa ananitafta hata nibadilishe namba basi ataipata maana nimehama mji ila cha ajabu kajua nilipo na ananiambia yeye shida yake niwe karibu na mtoto tu
Acha upuuzi wewe, mwanaume unabadilishaje namba? Jisimamie huyo malaya mwambie ana mume wake akukome na akiendeleza huo umalaya wake taarifa zitamfikia mumewe na kama hawezi Lea huyo mtoto basi amlete umlee wewe na asikusumbue kwa namna yoyote alichagua mwenyewe fungu la kukosa sasa asikusumbue. Ningekuwa mimi akiniita hospital kumwona mtoto Nampa kipigo namwita mumewe na mwanangu namchukua. Mianamke mingine ni mipoyoyo kabisa kama hilo haijawahi kuwa na akili timamu, yaani ndoa kwake ni kitu rahisi kweli sasa ngoja liachike lizae na kila mwanaume mtaani. Sorry wewe na hilo jike malaya wote inaonekana dish limeyumba mbayaaa
 
Kaeni chini mweleze ukweli wa unachohofia juu ya ukaribu wake na yeye kwa sasa, akishindwa kukuelewa tafuta wazee wakushauri nini cha kufanya
 
Alileta mzigo ukapiga kama njia ya kuagana. Sasa anakuletea mtoto kama njia ya kukumbukana.

Elewaneni tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…