USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

prettydiva

Senior Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
101
Reaction score
39
Mamboz wadau.....mimi ni binti wa miaka 25,nna mpnz ambaye tuna mwaka sasa lakn mwanzo wa uhusiano wetu alionyesha kunijali sana simu kla dk,txt,zawad nk.Mwaka jana mwez wa 8 akaanza kubadilka yte alyokuwa akinifanyia hakuna tena,yy ni mwajiriwa n mm nw cna kazi baada ya ofis nlkuwa nafanya mkataba kuisha,so nmekuwa nkimuomba hata sh 20,000 anasema hana hata vocha ya 500 hanip na kupga hadi nianze mm,ss nmechoka nahs tukiingia kwny ndoa hatanisaidia.Jana nmepga cm yke kuanzia sa5-6 uck ipo busy,ksho yke namuulza eti anasema ina matatzo..nishaurin jaman kuna future au nimuache tu,plzz.
 
ndugu yangu hapo ushaanza kuchokwa, na nahisi kashapata mwingine
 
Mi hata siombagi ushauri najiondokea kimyakimya. Use your head girl
 
Huyo alikuwa anakupenda kipind una kaz saiv ameona unamchosha kumwomba omba pesa hvyo anashndwa kukwambia amekuchoka anatafuta vijisababu akuache kwa kweli inaumiza bt wat u suppose to do is to find a work hii itarudisha heshma ndugu trush me fanya uwezavyo upate kaz
 
we binti acha roho mbaya kama mlinzi wa mochwari!....eti 'hata elfu 20'......kwani ww umewahi kumpa zawadi au hata hiyo elfu 20 unayoililia hapa?.......nampongeza sana jamaa maana kachoka na mizinga yako ya kipuu.zi!.....sijui shida yako aibe wamtoe roho kijana wa watu!
 
tafuta kazi kwa bidii ufanye! na kwa sasa mkalie kimya na wewe najua ni ngumu kwa umpendae bt fanya hvyo ili ujue position uliyonayo kwake ukiona yaleyale lala mbele tu hakuna jipya hapo.
 
anajua huna kazi..kuwasiliana bc shida mpk uanze ww...bora hata angekua anakutumia hilo Jero mhh....cm usiku busy!!!! ina mana akimaliza kuongea na simu zake haoni miscall zako ili akupigiee!!!!
Aah angalia ustaarabuuu
 
Nawashukuru wote,nilikutana nae kipindi niko kazini yaan ghorofa moja ila kampun tofauti...yaan mapnz yalkuwa moto cos tulkuwa tunaonana kla cku bt nw hata miez 3-5 tunaweza tusionane kla cku yko busy,na ikitokea tumeonana basi mm ndo nabembeleza kweli..co kwamba ctak kazi mm nna degree bt ajira ndo ngumu,wkt yy ndo anasoma bachelor hku anafanya kazi..mapenz yanatesa sana
 
Mi hata siombagi ushauri najiondokea kimyakimya. Use your head girl


kabisa lolalola, sa huyu sijui anataka uthibitisho huku?..yaani hapo ni kutimua vumbi afu na ashukuriwe Mungu aliweka macho mbele, prettydiva ukigeuka nyuma utakuwa nguzo ya chumvi shauri yako..
 
Nawashukuru wote,nilikutana nae kipindi niko kazini yaan ghorofa moja ila kampun tofauti...yaan mapnz yalkuwa moto cos tulkuwa tunaonana kla cku bt nw hata miez 3-5 tunaweza tusionane kla cku yko busy,na ikitokea tumeonana basi mm ndo nabembeleza kweli..co kwamba ctak kazi mm nna degree bt ajira ndo ngumu,wkt yy ndo anasoma bachelor hku anafanya kazi..mapenz yanatesa sana

mmmhhh.....yani kuonana mpk ubembeleze jamaniii mmh!! anackitisha sana huyo jamaa...Ckiliza moyo lkn unakuambia nn!!
 
we binti acha roho mbaya kama mlinzi wa mochwari!....eti 'hata elfu 20'......kwani ww umewahi kumpa zawadi au hata hiyo elfu 20 unayoililia hapa?.......nampongeza sana jamaa maana kachoka na mizinga yako ya kipuu.zi!.....sijui shida yako aibe wamtoe roho kijana wa watu!

mm ni msichana mtoaji n cna roho mbaya hata kdgo,yan nmeshawah kumpa hela na co mara 1 n hata vocha nlkuwa namtumia cos mapenz ni give n take...cmpgi miznga ya ajab kama ulvyowaza,ni jst cna kazi kwa nw nahitaj msaada wake,ss unatka nitafute wa nje wa kunipa wkt muhuska ypo???
 
kabisa lolalola, sa huyu sijui anataka uthibitisho huku?..yaani hapo ni kutimua vumbi afu na ashukuriwe Mungu aliweka macho mbele, prettydiva ukigeuka nyuma utakuwa nguzo ya chumvi shauri yako..

ha ha haaaaaa...asante sana,tatzo mapenz yanatesa sana ila nw cna jins...asante sana enhh!
 
Nawashukuru wote,nilikutana nae kipindi niko kazini yaan ghorofa moja ila kampun tofauti...yaan mapnz yalkuwa moto cos tulkuwa tunaonana kla cku bt nw hata miez 3-5 tunaweza tusionane kla cku yko busy,na ikitokea tumeonana basi mm ndo nabembeleza kweli..co kwamba ctak kazi mm nna degree bt ajira ndo ngumu,wkt yy ndo anasoma bachelor hku anafanya kazi..mapenz yanatesa sana
pole mama yanauma sana just be strong kila mtu akisema yake hapa we utajiona afadhali yani jipe moyo utampata akupendae kwa dhati Mungu ni mwema.
 
prettydiva Ebu jifunze kuunganisha maneno kamili kama ulivyofundishwa kipindi kile darasani, niwe muwazi sijakuelewa ulichoandika kabisa. Acha hivyo vifupisho vya maneno na sentensi iweke kamili, punguza papala.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom