intelligent mind
Member
- Nov 20, 2015
- 29
- 23
Kuna rafiki yangu wa karibu sana alikuwa na mahusiano na mwanamke flani but yule mwanamke alikuwa ametoka kuachika na mume wake.
Jamaa kaanzisha mahusiano lakini yule mwanamke alikuwa tayari na mtoto mdogo kama anamiaka 5.
Lakini baada ya siku kwenda yule mwanamke akaja kwa jamaa na kumwambia sitoki tena humu ndanisababu ninataka unioe.
Jamaa alijaribu kumwelewesha bila mafanikio yeyote yani kaja yeye na mwanae huyo mdogo na huyo jamaa anasema atamuoaje wakati huyo mwanamke aliachika bila talaka.
So anaogopa kumuoa mke wa mtu asije kushitakiwa jamani.
Naombeni tumshauri mwenzetu bila matusi.
Jamaa kaanzisha mahusiano lakini yule mwanamke alikuwa tayari na mtoto mdogo kama anamiaka 5.
Lakini baada ya siku kwenda yule mwanamke akaja kwa jamaa na kumwambia sitoki tena humu ndanisababu ninataka unioe.
Jamaa alijaribu kumwelewesha bila mafanikio yeyote yani kaja yeye na mwanae huyo mdogo na huyo jamaa anasema atamuoaje wakati huyo mwanamke aliachika bila talaka.
So anaogopa kumuoa mke wa mtu asije kushitakiwa jamani.
Naombeni tumshauri mwenzetu bila matusi.