Sasa kumbe umenenunua kwa Agent mzee. Hio walau i can bet for it ila sio hizi za Msimbazi hapo.Kwa authorized supplier wa Hisense Tz na warranty juu. Kama zingekuwa hazifikishi mwaka asingethubutu kuweka warranty
Sasa kama unazungumzia za vichochoroni hata Samsung huwezi kuwa na uhakika nayo.Sasa kumbe umenenunua kwa Agent mzee. Hio walau i can bet for it ila sio hizi za Msimbazi hapo.
Wengi TV wananunua za mafungu hapo MsimbaziSasa kama unazungumzia za vichochoroni hata Samsung huwezi kuwa na uhakika nayo.
Mkuu kifupi content unayo sana asiye elewa madini haya mimi namusikitikia sana Kwakweli.Tatizo lako hujui na hutaki kujua na unakatisha tamaa wenzako wasijue ili wote msijue.
Kujua Display fake ama ya low quality si kazi ni kitu cha sekunde kadhaa tu ama dakika mfano.
1. Kioo kama ni ips ama low quality vya tft unaangalia tu viewing angle, nenda kulia, kushoto katikati ikiwa haioneshi kwa quality nzuri sio panel nzuri ya display, panel mbaya siku zote inakuwa na view angle mbovu.
2. Plasma siku zote ni kama Glass haina weusi wa LED inakuwa kama kijivu same kwa panel za zamani unazozikuta kwenye chogo.
3. Oled ukionesha Picha nyeusi ukiwa umezima taa inakuwa kama tv imezimwa, ama kwa mzoefu akiangalia tu kwa macho wakati inaonesha rangi nyeusi anajua hii oled, led/lcd haiwezi onesha nyeusi tii. Etc
Pia kila brand inakuja na Unique features
-Samsung smart zina Tizen
-LG smart zina Web os
-TCL smart zina Certified Google TV (Android TV) ama Roku ama opera TV
-Hisense zina Vidaa os etc.
Wachina wa kawaida ama TV fake zina android ambayo sio certified ni aosp ya kawaida kama kwenye simu ama tablet na wanaweka tu Launcher ku imitate, app zake ni za simu hazipo optimized kwa TV kwa macho tu unaona utofauti na Brand za juu.
Na Bei za TV ni within laki mpaka laki 2 Kibongo bongo, baina ya Wachina na brand kubwa
Mfano Tcl ni laki 4 mpaka 5, mchina choka mbaya ni ariund laki 2 na something mpaka 3, kama unaweza Afford toa laki 3 ukanunua TV isio na jina huwezi shindwa kuongeza kidogo ukanunua TCL ama Hisense.
Ukienda Inch 40, 43 ni hivyo hivyo unakuta LG na star x utofauti ni chini ya laki 2, unatoa laki 6 unanunua no name chinese unaacha laki 7 OG.
Cha muhimu ni hio warranty mkuu tena ya maandishi na sio kauli tamu za wauza duka.
Issue yangu mimi na wachina (Hata kina samsung na Lg wanaanza huu mchezo), wanauza model tofauti Huko Duniani na huku Africa, Model inayoenda marekani hata kama ni ya bei rahisi utakuta ni nzuri kuliko wanazokuja ku Dump huku Africa.
So unakuta Hio Hisense nzuri uliyoona Reviews Online haipatikani Duka lolote kibongo bongo.
Mkuu angalia budget yako na tv unayonunua, mimi sio muumini wa Viwanda, as long as tv inakuwa supported haina neno. Hivyo ni viwanda vya kupachika tu, its not like wanatengeneza from scratch.Mkuu, kwema?
Nataka kununua Hisense tv, za kutoka south Africa, je! Imara mkuu wangu?
Chukua samsung tu ila iwe original.
Mkuu angalia budget yako na tv unayonunua, mimi sio muumini wa Viwanda, as long as tv inakuwa supported haina neno. Hivyo ni viwanda vya kupachika tu, its not like wanatengeneza from scratch.
Tv inaweza kuwa vyote HDR ama Qled si lazima iwe na kimoja. Ni vitu viwili tofauti ambavyo havifananishiki.Ni hdr or qled ipi ni nzuri mkuu?
Hata mimi nashangaa watu wanaposema Mbovu, nimeshanunua 3 mwaka wa 4 huu, hakuna hata moja inasumbua.Labda nipo makini kwenye matunzo, Hisense last year nimenunua ya tatu mara zote hakuna iliyoniangusha. Yaani kubadili kwangu ni kutakana na kuhisi tu moja imepitwa na wakati nanunua latest versions. Ni ngumu sana kunitoa kwenye hii brand nimetokea kuiamini sana.
Hisense anapambana afanane na samsung.Hisense na samsung ipi best???
Unatumia TV guard?!Hata mimi nashangaa watu wanaposema Mbovu, nimeshanunua 3 mwaka wa 4 huu, hakuna hata moja inasumbua.
Sio nzuri nmenunua mwaka haujaisha imeharibika, ninayo samsung saivi mwaka wa 13 bado unadunda.Hisense sio nzuri mkuu?
Chief, hiyo 58" nikupe 1.4?
Nilinunua hisense mtumba from uk kiukweli sijutii
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
So apo anapigwa wazi wazi haiwezekani Hisence akasimama kifua mbele ya samsungYah hisense ina cheap materials halafu they are not meant to last. Its a low budget tv mzae