Npo ktk mahusiano na msichana na tuna mpango wa kufanya utambulisho lakin mama ake na binti hanitak kwa sababu kuna kijana alikuwa anampenda na alitaka amuoe binti yake lakin msichana alimkataa huyo kijana na anataka kufunga ndoa na mimi.
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?
Npo ktk mahusiano na msichana na tuna mpango wa kufanya utambulisho lakin mama ake na binti hanitak kwa sababu kuna kijana alikuwa anampenda na alitaka amuoe binti yake lakin msichana alimkataa huyo kijana na anataka kufunga ndoa na mimi.
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?
Endelea na mipango yako ya harusi, Bi dada kakuchagua wewe wala usihofu chuki ya mama mkwe wako ingawaje huwa inapendeza kuwepo na upendo kati ya mume/mke na wakwe zake. Kila la heri na baraka kwenye harusi yenu.
Npo ktk mahusiano na msichana na tuna mpango wa kufanya utambulisho lakin mama ake na binti hanitak kwa sababu kuna kijana alikuwa anampenda na alitaka amuoe binti yake lakin msichana alimkataa huyo kijana na anataka kufunga ndoa na mimi.
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?
Kuna wachangia mada wengine wanatia hasira! Limtu linaropoka tuu kama limetoka msukule..mtu hasomi mada akaelewa anakurupuka kama kafumaniwa na shoga! #jiwe gizani.... Ukisikia yalaaah
Npo ktk mahusiano na msichana na tuna mpango wa kufanya utambulisho lakin mama ake na binti hanitak kwa sababu kuna kijana alikuwa anampenda na alitaka amuoe binti yake lakin msichana alimkataa huyo kijana na anataka kufunga ndoa na mimi.
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?