Disminder girl hujambo?sasa tutakushaurije wkt we mwenyewe husemi kafanyaje?
Kuna kaka angu nw anamiaka kma 38 lakn hakubahatka kupata elim lakin cku hz amekuwa kero kwnye familia yetu
hahahah mgirik una mambo weye!inaonesha mna mdharau sana ............. Uandishi wenyew unaonesha dharau zmekujaa lakin kichwan bado hautoshi
hahahah mgirik una mambo weye!
aisee kweli usipokuwa na pesa utadharaulika mpaka na watoto wadogo...
muoneni huyu anavyosemwa na mdogo wake hapa..
aisee! Umaskin mbaya sana. Hakuna kitu nachokichukia kama umaskin. Kama huyu dogo usikute kaungaunga kulisit sahvi amepata kredit anaanza kujiona msomi