niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,671
- 5,471
huyo aachane na mambo ya elimu tu...VP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F, chem D, bio c
Comb gani au Chuo private anaweza kupata
chukua hii mkuu wengine wanakujibu from hisia mimi pia nimeiona barua ni sahihi alichosemaKivipi asiende mkuu mimi nimejibi kutokana na vigezo vyao mkuu sijajitungia kichwani mkuu kwani barua yao ipo kuhusu vigezo ,namba moja inasema awe na credit kuanzia masomo matatu kati ya saba lkn dini au mosomo mengine ya ziada yasiwe miongoni mwa hizo, mbili inasema awe na point 3 hadi 10 ktk mosomo matatu ya tahasusi Lkn F Isewe miongoni mwa hizo sasa kutokana na vigezo hivyo CCD ni point kumi .Hivyo sifa za kwenda kidato cha tano kusomea PCB anazo
Mkuu samahani naomba nifafanulie hapa mfano mtu hakufanya physics akarudia mtihani wa physics akapata C cheti kikawa hivichukua hii mkuu wengine wanakujibu from hisia mimi pia nimeiona barua ni sahihi alichosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Chuo Tu,Huyu bios d.eng c math d geog d ksw c hist d
advocate kiza huyu vipi?Mkuu samahani naomba nifafanulie hapa mfano mtu hakufanya physics akarudia mtihani wa physics akapata C cheti kikawa hivi
Phys c
Chem D
Bios c
Engl D
Geo D
Kisw C
Civ D
hist F
Math F
Huyu anaweza kwenda advance kwa PCB na akafanya mtihani wa kidato cha sita bila shida?
Mkuu Huyu Ni Private As Long As Ana Credit 3, Kwa Govt Hata Kama Angepata Division One, Kwa Kuwa Ana Cheti Cha Kuunga Unga(samahani Lakini) Ingemuuwia Vigumu Kudahiliwa,advocate kiza huyu vipi?
Kiwango cha chini kabisa ni CCD kwenye comb( ponti 10)
Kiwango cha juu kabisa ni AAA ( pointi 3)
KWA HIYO ATAENDA KWA kuwa ana CCD lakini kama competition ni kubwa hatochaguliwa maana ana ufaulu wa chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Huyu Ni Private As Long As Ana Credit 3, Kwa Govt Hata Kama Angepata Division One, Kwa Kuwa Ana Cheti Cha Kuunga Unga(samahani Lakini) Ingemuuwia Vigumu Kudahiliwa,
PCBana three III 24 CIV D HIST D ENGL D KISW C GEO C BIO C PHY C CHEM D MATH D je anaweza chaguliwa form five ya serikali na comb gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpeleke private mapema kabla ujapoteza mda kusbl PCB au CBG over.ana three III 24 CIV D HIST D ENGL D KISW C GEO C BIO C PHY C CHEM D MATH D je anaweza chaguliwa form five ya serikali na comb gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasoma Vizuri Vyuo Kama Sua, Muhas, Udsm,udom, N.K Yeye Akapige Kitabu Tu, Akipata Admission,Amna noma mkuu.
Na akisoma advance private akapiga fresh anaweza kwenda degree katika vyuo vya serikali mkuu?
Pcb bwanaa
ana three III 24 CIV D HIST D ENGL D KISW C GEO C BIO C PHY C CHEM D MATH D je anaweza chaguliwa form five ya serikali na comb gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani naomba nifafanulie hapa mfano mtu hakufanya physics akarudia mtihani wa physics akapata C cheti kikawa hivi
Phys c
Chem D
Bios c
Engl D
Geo D
Kisw C
Civ D
hist F
Math F
Huyu anaweza kwenda advance kwa PCB na akafanya mtihani wa kidato cha sita bila shida?
Mkuu samahani, je hiyo barua naweza kuipata? Nia yangu ni nzuri.
Kuna kijana namsaidia.
Anataka kusomea PCB lakini ufaulu wake upo hivi.
History D
Kisw D
Geo C
E/language D
Civics D
Bios D
Chemistry C
Phy D
B/ math C.
Je hata nikimpeleka private au kwenue hizi open school, anazo sifa za kufanya mthihani wa kidato cha sita kwa tahasusi ya Pcb?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma shule gani mkuu? Ushauri sio ushauliana three III 24 CIV D HIST D ENGL D KISW C GEO C BIO C PHY C CHEM D MATH D je anaweza chaguliwa form five ya serikali na comb gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
VP huyu mwenye, civ D, hist D, geo D, kisw D, eng C, phy F, b/math F, chem D, bio c
Comb gani au Chuo private anaweza kupata