Chemagati
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 210
- 288
Dah! ramli chonganishi hiyoKabisa, na kama uwezo wa chuo, huyu anaweza kuwa hata mwizi... Kwanini apate F?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! ramli chonganishi hiyoKabisa, na kama uwezo wa chuo, huyu anaweza kuwa hata mwizi... Kwanini apate F?
Sent using Jamii Forums mobile app
Combination gani anaweza soma kwa private
Ili Upige Pepa La VI Lazima Uwe Na C3, Na Kuendelea,Kivipi dogo yupo kwenye dilemma
Nimefanya uchunguzi tangu matokeo yametoka, hakukuwa na mahala hawa watoto walifaa kushindwa... Sasa kama wanaanzia na matokeo haya huku mtaan watakuwa na matokeo gani!!!!Dah! ramli chonganishi hiyo
HahahaKabisa, na kama uwezo wa chuo, huyu anaweza kuwa hata mwizi... Kwanini apate F?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes wanateleza kwa kuwa na pressure ya mtihani, but kwa sasa naangalia jinsi ya kumsaidia katika elimu.Nimefanya uchunguzi tangu matokeo yametoka, hakukuwa na mahala hawa watoto walifaa kushindwa... Sasa kama wanaanzia na matokeo haya huku mtaan watakuwa na matokeo gani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haendi Private, Hana Credit 3,This has to be 4.26 i think,on government he/she won't be selected, but as for the private i he/she may get one.... Otherwise college will be the best...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana advocate bana usicheke bana..hawa vijana wamekuja mtaani na matokeo yametoka watu wameshachagua kazi zao... Kama mimi nina litoto huku nyumbani tangu matokeo yametoka hajawahi kuonekana nyumbani.. Nasikia na kazi ameanza huko aliko, nimewaomba wasinitajie tuu ni kazi gani anafanya bana.. Angalau niishi kidogo maana najua haitakuwa kazi yenye akili...Hahaha
Kila siku na angalia taarifa ya habari kwa sababu najua nitamuona tuu kwenye tv amefanya tukioHahaha
Dah! Nimecheka kwa sautiKila siku na angalia taarifa ya habari kwa sababu najua nitamuona tuu kwenye tv amefanya tukio
Sent using Jamii Forums mobile app
For Sure Mkuu, Mimi Nilikuwa Sisomi Kivile Ila Ila Nilikuwa Najua Kujibu Maswali Hatari Hasa Civ, Hist, Madogo Weng Wanakesha Ila Hawajui Kujibu PepaSometimes wanateleza kwa kuwa na pressure ya mtihani, but kwa sasa naangalia jinsi ya kumsaidia katika elimu.
Aisee!Bwana advocate bana usicheke bana..hawa vijana wamekuja mtaani na matokeo yametoka watu wameshachagua kazi zao... Kama mimi nina litoto huku nyumbani tangu matokeo yametoka hajawahi kuonekana nyumbani.. Nasikia na kazi ameanza huko aliko, nimewaomba wasinitajie tuu ni kazi gani anafanya bana.. Angalau niishi kidogo maana najua haitakuwa kazi yenye akili...
Sent using Jamii Forums mobile app
But anaweza soma wakati aki rudiaHaendi Private, Hana Credit 3,
Sina Uhakika Kama Hii System Bado IpoBut anaweza soma wakati aki rudia
I mean kurisit baadhi ya masomo uku akiendelea na masomo ya form fiveSina Uhakika Kama Hii System Bado Ipo
Mkuu samahani, je hiyo barua naweza kuipata? Nia yangu ni nzuri.Kivipi asiende mkuu mimi nimejibi kutokana na vigezo vyao mkuu sijajitungia kichwani mkuu kwani barua yao ipo kuhusu vigezo ,namba moja inasema awe na credit kuanzia masomo matatu kati ya saba lkn dini au mosomo mengine ya ziada yasiwe miongoni mwa hizo, mbili inasema awe na point 3 hadi 10 ktk mosomo matatu ya tahasusi Lkn F Isewe miongoni mwa hizo sasa kutokana na vigezo hivyo CCD ni point kumi .Hivyo sifa za kwenda kidato cha tano kusomea PCB anazo