kapuku94
Member
- Nov 7, 2018
- 66
- 69
Duniani umekuja kuishi ,kudumu au kuwapa mateso wengine, maswali ayo unijia napo mtazama mama. Hongera kwenu nyinyi kwani kwenu akuna Kama mama , lakini Mimi ata sioni Kama anafahida kwangu.
Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"
Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,
Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.
Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"
Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,
Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.
Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
