Ushauli: natamani kumchoma mama kisu

Ushauli: natamani kumchoma mama kisu

Narudia tena nimekujumuisha kwa niaba ya jinsia ya kike lakini si kwa ujumla wa matendo, kwani wewe ni Me hadi useme sijakutendea haki?

Mbona mazuri yasemwayo hapa JF kuhusu jinsia ya kike hujawahi kulalamika kuwa hatukutendei haki zaidi ya kulewa sifa tu na kucheka hadi jino la 32 kuonekana?

Ktk jambo lolote lihusulo Wanawake wapaswa uuvae uhusika haijalishi li la heri au la shari, sawa Mama la Mama?
Yaani unijumishe kwa tabia ambazo Sina ulazimishe niuvae uhusika mimi naigiza hapa kwamba iwe lazima hata kama ungenijumlisha kwa jambo nzuri ningekataa pia kama sio tabia yangu.
 
Mtoa mada
62530666_324099421838092_2536194921480585216_n.jpeg
 
Tunza kumbukumbu ukiwa mwongo 7bu si mara ya kwanza kusoma SMS zako hapa JF hadi ukatae kauli ya kujumuishwa ktk mazuri ya kike, utake usitake wewe ni Ke na bado utaendelea kuwa Ke hata kama hupendi.

Mbona sisi Wanaume huwa tunabeba uhusika mnapotulalamikia tabia zetu mbovu?
Yaani unijumishe kwa tabia ambazo Sina ulazimishe niuvae uhusika mimi naigiza hapa kwamba iwe lazima hata kama ungenijumlisha kwa jambo nzuri ningekataa pia kama sio tabia yangu.
 
Hawachi sidhani kama upo sahihi -- Tembea ujionee haya maisha tunayoushi Kuna watu huwa Wana kutana na changamoto nzito sana -toka kwa wazazi mpaka jamii nzima. ....

Kwa hiyo unataka kuniambia Yale masimulizi ambayo huwa tuna ya sikia kuwa Kuna Watu ni wachawi kama huwa ni wachawi kweli je huwa hawazai na kuwa na familiar? Kama wanakuwaga na watoto je haiwezekani kuwa mtoa Mada akawa ni miongoni mwa watoto hao ---?
Nimekuelewa mkuu
 
Tunza kumbukumbu ukiwa mwongo 7bu si mara ya kwanza kusoma SMS zako hapa JF hadi ukatae kauli ya kujumuishwa ktk mazuri ya kike, utake usitake wewe ni Ke na bado utaendelea kuwa Ke hata kama hupendi.

Mbona sisi Wanaume huwa tunabeba uhusika mnapotulalamikia tabia zetu mbovu?
🤔Kuna sehemu nimekataa mimi sio mwanamke hivi unasoma vizuri comments zangu na kuzielewa au unahitaji tubishane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom