Ushauli: natamani kumchoma mama kisu

Ushauli: natamani kumchoma mama kisu

Duniani umekuja kuishi ,kudumu au kuwapa mateso wengine, maswali ayo unijia napo mtazama mama. Hongera kwenu nyinyi kwani kwenu akuna Kama mama , lakini Mimi ata sioni Kama anafahida kwangu.

Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"

Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,

Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.

Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
Ishi dunia ya kisasa achana na mawazo ya ushirikina yatakupotezea muda wako. Omba sana kwa Mungu yatapita hayooo
 
Pole sana...

Una kisa kama cha Emimen...

Usikute wewe na mzazi wako wote mnavuta bangi...


Cc: mahondaw
 
Mchawi ni we mwenyewe na inaonekana umeshakata tamaa, utajiitaje kapuku? Pumbaav sana hamia mkoa mwingine uhangaike

Na inaonekana humtunzi mama yako laanakhum ww
 
Acheni kupandikiza chuki kwa Watoto mliobarikiwa na hao hao akina Baba mnaowapandikizia chuki kwa watoto wenu
Nimesitika sana,Mama aliye kubeba tumboni miezi 9 why asikuroge ukiwa tumboni.Nakushauri nenda kapime ubongo kama uko sawa kisha utubu dhambi zako la sivyo maneno huumba jera inakuhusu.
 
Ni hivi:

»»ukichoma kisu>>umeikaribisha korokoro (jela)

»»ukiua>>miaka 05-10 ya kusafiri kati ya jela na mahakama ukiwa ndani ya karandika + jela maisha au kunyongwa.

»»ushauri>>1. usiue 2. hama hapo nenda mbali au nenda mkoa mwingine kabisa kaishi hukohuko.

Wazee wangu walifanya hivo na maisha yanaendelea vema.
 
Ukimchoma kisu unakuwa umejiweka kwenye kundi moja na mama yako.
 
Yani mipumbavu inayoamini ushirikina inakera Sana ,hapo kashaenda kwa mganga amedanganywa na kashapigea pesa na jogoo mweusi anakuja kumzikua mamayake pumbavu,mi nilidhani umemuona amekuwekea sumu na daktari kathibitisha kwamba Ni sumu kumbe eti umerogwa shenzi kabisa mshirikina mkubwa we pumbavu
 
Kama uko Dom au karibu na Dom naomba fasta njoo Pm tuyajenge.!
Kuna punguzo kubwa la bei msimu huu wa sabasaba utapata jeneza lake zuri kabisa tena ni vizuri ukawahi kununua ili ukaliweke hapo nyumbani kabla hujatekeleza.
 
Duniani umekuja kuishi ,kudumu au kuwapa mateso wengine, maswali ayo unijia napo mtazama mama. Hongera kwenu nyinyi kwani kwenu akuna Kama mama , lakini Mimi ata sioni Kama anafahida kwangu.
Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"
Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,
Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.
Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
Pole mkuu kwa kupitia changamoto kubwa. Ila suluhisho ni dogo mno na wala sio kumchoma kisu. Utazalisha mateso mwingine miaka yako yote iliyobaki ya uhai wako.
SULUHISHO:
MPOKEE YESU AWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO LEO. Utfurahia maisha yako yooote.
1. Yeye mwenyewe kwa hiari yake atakukimbia kila akikuona.
2. Wewe utamfuata popote kwa ujasiri mkubwa na hata kufanya chochote
WACHAWI WOOOOOTE DUNIANI NA PAMOJA NA WANOSOMA COMENT HII NA AMBAO HAWAMO JF. Mwenzio tunawaita mende, kunguni, takataka,nzi chawa, funyefunye na majina mwingine ya dharau yooote kwa raha zetu.
Nasisitiza tena WEWE OKOKA TU HATA KAMA ULIUDHARAU WOKOVU KABLA WENYEWE UTAKUINUA. Na utakuwa wa kwanza kudharau hata mi nilidharau nakudhihaki kama watakavyofanya wengi kwenye coment yangu. Ila asa hivi nakula bata sio kawaida.Wachawi na baba yao shetani nawagalagaza ntakavyo. Fanya maamuzi haya mwingine yote yatakunyonga tu. Mungu wa mbingu na nchi akusaidie. Kwani vita yako sio ya damu na nyama bali ni niya kiroho dhidi ya mapepo wabaya wa uchawi ambao huwezi kuwaona kwa macho ya nyama
 
Duniani umekuja kuishi ,kudumu au kuwapa mateso wengine, maswali ayo unijia napo mtazama mama. Hongera kwenu nyinyi kwani kwenu akuna Kama mama , lakini Mimi ata sioni Kama anafahida kwangu.

Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"

Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,

Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.

Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
Huna akili ya kawaida!
 
Duniani umekuja kuishi ,kudumu au kuwapa mateso wengine, maswali ayo unijia napo mtazama mama. Hongera kwenu nyinyi kwani kwenu akuna Kama mama , lakini Mimi ata sioni Kama anafahida kwangu.
Kwa mda mrefu mama amekuwa akituaminisha kuwa baba ni mchawi, afai , katufunga kuzimu, "baba yenu ni mchawi ataki musome ,kawafunga kuzimu akuna kusoma Wala kufanikiwa , tena yeye tajili kuzimu Ila uku duniani masikini"
Yalikuwa maneno ya mama akituaminisha kuwa baba nimbaya,
Baada ya kuwa Na ujasili Na kuwa Na uwezo wa kuchambua mambo nilikuja kutambua kuwa yeye mama ndo mchawi mkubwa, kamchawia baba ajabu uchawi wake umekwenda vibaya adi wa toto wake umetupata.
Karoga familia nzima.kilichobaki ni kumsingizia Mzee.
Pole mkuu kwa kupitia changamoto kubwa. Ila suluhisho ni dogo mno na wala sio kumchoma kisu. Utazalisha mateso mengine miaka yako yote iliyobaki ya uhai wako.
SULUHISHO:
MPOKEE YESU AWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO LEO. Utafurahia maisha yako yooote.
1. Yeye mwenyewe kwa hiari yake atakukimbia kila akikuona.
2. Wewe utamfuata popote kwa ujasiri mkubwa na hata kufanya chochote
WACHAWI WOOOOOTE DUNIANI NA PAMOJA NA WANOSOMA COMENT HII NA AMBAO HAWAMO JF. Mwenzio tunawaita mende, kunguni, takataka,nzi chawa, funyefunye na majina mwingine ya dharau yooote kwa raha zetu.
Nasisitiza tena WEWE OKOKA TU HATA KAMA ULIUDHARAU WOKOVU KABLA WENYEWE UTAKUINUA. Na utakuwa wa kwanza kudharau hata mi nilidharau nakudhihaki kama watakavyofanya wengi kwenye coment yangu. Ila asa hivi nakula bata sio kawaida.Wachawi na baba yao shetani nawagalagaza ntakavyo. Fanya maamuzi haya mwingine yote yatakunyonga tu. Mungu wa mbingu na nchi akusaidie. Kwani vita yako sio ya damu na nyama bali ni niya kiroho dhidi ya mapepo wabaya wa uchawi ambao huwezi kuwaona kwa macho ya nyama
 
Narudia tena nimekujumuisha kwa niaba ya jinsia ya kike lakini si kwa ujumla wa matendo, kwani wewe ni Me hadi useme sijakutendea haki?

Mbona mazuri yasemwayo hapa JF kuhusu jinsia ya kike hujawahi kulalamika kuwa hatukutendei haki zaidi ya kulewa sifa tu na kucheka hadi jino la 32 kuonekana?

Ktk jambo lolote lihusulo Wanawake wapaswa uuvae uhusika haijalishi li la heri au la shari, sawa Mama la Mama?
hujanitendea haki kunijumuisha binadamu tumetofautiana tabia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom