Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 469
- 520
Wadau kwa Hali ya mvua mwaka huu kilimo Cha mpunga chaweza kuwa na manufaa,nataka kuwekeza mikoa ya shinyanga na tabora,ushauri kwenu Ni mda gani sahihi wakusia mbegu kabla ya kupanda-naweza mwaga mbegu nipande January mwishoni,ushauri wadau