Ushari kwa kaka yangu ZZK

Ushari kwa kaka yangu ZZK

Ze mimi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
127
Reaction score
16
Kwanza nakupa pole kwa harakati zako za kisiasa,baada ya pole hizo naomba nikupe ushauri wa bure kwamba inaonekana wewe ni kipenzi cha watu hasa wafuasi wa SISIEM na vibaraka(waganga njaa) wao ndan ya CDM;hivyo ni heri ukahamia kwenye chama ambacho kina wafuasi wako wengi ambao kimsingi hata kitabia wana fanana na wewe.Chama hicho si kingine bali SISIEM maana kwa kila mtu mwenye akili zake timamu anafahamu fika kwamba dhamira yako si tu uenyekiti wa chama ila kuna kitu kimejificha ndan yako ambacho ni cha kishetani kabisa,au vinginevyo kusanya wafuasi wako ili uanzishe chama chako cha siasa kama kweli unajiona unakubalika na wananchi kuliko kutuambisa sababu zisizo na msingi wowote eti umekitumikia chama tangu ukiwa na miaka 16 na ukijitolea kusimika nguzo za bendera za chama.By the way nilikukubali sana miaka ya nyuma lakini kwa sasa hapanaaaa.
 
Mkuu, umenena yaliyo ya ukweli mtupu, big up huyu bwana mdogo ni bure kbc, highest degree ignorant, sitoki cdm wakati hakuna mtu anamtaka,, very hopeless indeed nimewai kuona in my intire life.
 
Kwanza nakupa pole kwa harakati zako za kisiasa,baada ya pole hizo naomba nikupe ushauri wa bure kwamba inaonekana wewe ni kipenzi cha watu hasa wafuasi wa SISIEM na vibaraka(waganga njaa) wao ndan ya CDM;hivyo ni heri ukahamia kwenye chama ambacho kina wafuasi wako wengi ambao kimsingi hata kitabia wana fanana na wewe.Chama hicho si kingine bali SISIEM maana kwa kila mtu mwenye akili zake timamu anafahamu fika kwamba dhamira yako si tu uenyekiti wa chama ila kuna kitu kimejificha ndan yako ambacho ni cha kishetani kabisa,au vinginevyo kusanya wafuasi wako ili uanzishe chama chako cha siasa kama kweli unajiona unakubalika na wananchi kuliko kutuambisa sababu zisizo na msingi wowote eti umekitumikia chama tangu ukiwa na miaka 16 na ukijitolea kusimika nguzo za bendera za chama.By the way nilikukubali sana miaka ya nyuma lakini kwa sasa hapanaaaa.

Mwanangu umempa huyu kijana ushauri wa bure na wa maana mno .Kwa wakati sasa nadhani hata mimi nasema kijana wangu Zitto tafadhali ingia tu CCM .
 
kwa staili hiii ccm kuitoa ni ndoto.mtu asioji mapato na matumizi kishakuwa mhaini,msaliti.tunahitaji chama cha upinzani kitakachotuunganisha watanzania na kuweza kuitoa madarkani CCM.juzi tumeona watu wameanzisha chama ,baada ya kuvuliwa uanachama HAMAD RASHID,pia akina RUNGWE na wenzake wameanzisha chama.ww unamshauri ZITTO naye aanzishe chama chake.TUTAANZISHA VINGAPI??? matokeo yake kila KABILA liakuwa na chama chake .Jamii kubwa ya watanzania tunataka mageuzi tatizo wapinzani ni wanafiki.tunaendekeza yaleyale ya CCM.UFISADI,UBAGUZI hususani wa KIKANDA, KABILA,DINI walionacho na wasio nacho.tutafute chama kitakachowaunganisha watanzania bila kujali DINI,RANGI,KABILA NK.
KUNA VYAMA VIKUUU VITATU TUVIIIMARISHE HIVI TUNAITOA CCM BILA TABU.hakuna hata kimoja kitakachoweza kuchukua peke yake tuondoe ubaguzi kwenye vyama vyetu.
 
Kwanza nakupa pole kwa harakati zako za kisiasa,baada ya pole hizo naomba nikupe ushauri wa bure kwamba inaonekana wewe ni kipenzi cha watu hasa wafuasi wa SISIEM na vibaraka(waganga njaa) wao ndan ya CDM;hivyo ni heri ukahamia kwenye chama ambacho kina wafuasi wako wengi ambao kimsingi hata kitabia wana fanana na wewe.Chama hicho si kingine bali SISIEM maana kwa kila mtu mwenye akili zake timamu anafahamu fika kwamba dhamira yako si tu uenyekiti wa chama ila kuna kitu kimejificha ndan yako ambacho ni cha kishetani kabisa,au vinginevyo kusanya wafuasi wako ili uanzishe chama chako cha siasa kama kweli unajiona unakubalika na wananchi kuliko kutuambisa sababu zisizo na msingi wowote eti umekitumikia chama tangu ukiwa na miaka 16 na ukijitolea kusimika nguzo za bendera za chama.By the way nilikukubali sana miaka ya nyuma lakini kwa sasa hapanaaaa.

Umetumwa na mbowe umtukane mwanasiasa.ushindwe na ulegee.shetani ni wewe ulie tumwa.

Hakuna hoja ya maana na yenye mashiko kwamwenye akili timamu eti zito anakihujumu cdm.

Wanao kihujumu kwakula fedha za cdm hamuwasemi mnawaona wako sawa.ila anayeulizia uendeshwaji wa chama kwamujibu wa taratibu,mnamwona hafai.kweli vijana tumezowea kutumiwa kama makarai.
 
Kwanza nakupa pole kwa harakati zako za kisiasa,baada ya pole hizo naomba nikupe ushauri wa bure kwamba inaonekana wewe ni kipenzi cha watu hasa wafuasi wa SISIEM na vibaraka(waganga njaa) wao ndan ya CDM;hivyo ni heri ukahamia kwenye chama ambacho kina wafuasi wako wengi ambao kimsingi hata kitabia wana fanana na wewe.Chama hicho si kingine bali SISIEM maana kwa kila mtu mwenye akili zake timamu anafahamu fika kwamba dhamira yako si tu uenyekiti wa chama ila kuna kitu kimejificha ndan yako ambacho ni cha kishetani kabisa,au vinginevyo kusanya wafuasi wako ili uanzishe chama chako cha siasa kama kweli unajiona unakubalika na wananchi kuliko kutuambisa sababu zisizo na msingi wowote eti umekitumikia chama tangu ukiwa na miaka 16 na ukijitolea kusimika nguzo za bendera za chama.By the way nilikukubali sana miaka ya nyuma lakini kwa sasa hapanaaaa.

Mwanangu umempa huyu kijana ushauri wa bure na wa maana mno .Kwa wakati sasa nadhani hata mimi nasema kijana wangu Zitto tafadhali ingia tu CCM .
 
Kule CCM kuna wale jamaa wa BUKU7
Huku kwetu CHADEMA kunajitokeza watu wa BUKU15+ Kiroba.
Hatoki mtu CHADEMA tutakwenda sambamba mpaka KIELEWEKE.
Hii si Kampuni ya MSAE au AZAM ni chama Makini, chenye watu makini.
Mawazo ya Kizandiki hayana nafasi ndani ya CHADEMA.
Huko CCM mtaenda ninyi wenyewe, tena bila kushurutishwa.

JAMBO LIMEZUA JAMBO, SASA NI MAMBO!!!!!?

Kwanza nakupa pole kwa harakati zako za kisiasa,baada ya pole hizo naomba nikupe ushauri wa bure kwamba inaonekana wewe ni kipenzi cha watu hasa wafuasi wa SISIEM na vibaraka(waganga njaa) wao ndan ya CDM;hivyo ni heri ukahamia kwenye chama ambacho kina wafuasi wako wengi ambao kimsingi hata kitabia wana fanana na wewe.Chama hicho si kingine bali SISIEM maana kwa kila mtu mwenye akili zake timamu anafahamu fika kwamba dhamira yako si tu uenyekiti wa chama ila kuna kitu kimejificha ndan yako ambacho ni cha kishetani kabisa,au vinginevyo kusanya wafuasi wako ili uanzishe chama chako cha siasa kama kweli unajiona unakubalika na wananchi kuliko kutuambisa sababu zisizo na msingi wowote eti umekitumikia chama tangu ukiwa na miaka 16 na ukijitolea kusimika nguzo za bendera za chama.By the way nilikukubali sana miaka ya nyuma lakini kwa sasa hapanaaaa.
 
kwa staili hiii ccm kuitoa ni ndoto.mtu asioji mapato na matumizi kishakuwa mhaini,msaliti.tunahitaji chama cha upinzani kitakachotuunganisha watanzania na kuweza kuitoa madarkani CCM.juzi tumeona watu wameanzisha chama ,baada ya kuvuliwa uanachama HAMAD RASHID,pia akina RUNGWE na wenzake wameanzisha chama.ww unamshauri ZITTO naye aanzishe chama chake.TUTAANZISHA VINGAPI??? matokeo yake kila KABILA liakuwa na chama chake .Jamii kubwa ya watanzania tunataka mageuzi tatizo wapinzani ni wanafiki.tunaendekeza yaleyale ya CCM.UFISADI,UBAGUZI hususani wa KIKANDA, KABILA,DINI walionacho na wasio nacho.tutafute chama kitakachowaunganisha watanzania bila kujali DINI,RANGI,KABILA NK.
KUNA VYAMA VIKUUU VITATU TUVIIIMARISHE HIVI TUNAITOA CCM BILA TABU.hakuna hata kimoja kitakachoweza kuchukua peke yake tuondoe ubaguzi kwenye vyama vyetu.
 
Mwanangu umempa huyu kijana ushauri wa bure na wa maana mno .Kwa wakati sasa nadhani hata mimi nasema kijana wangu Zitto tafadhali ingia tu CCM .

Haondoki mtu hapa,kama nia yenu kula pesa za sabodo kisha mkiulizwa mnakuwa wakari mmeula wa chuya.

Hakatwi mtu hapa.hivi nyie mamburura nani kawaroga hadi mshindwe kumjua hasa anaye kihujumu chadema?mbona waraka wa kitira umeweke wazi mapungufu ya mbowe na slaa.kusoma hajui nakusikia hamsikii.enyi kizazi cha nyoka ninani aliye waroga?
 
Nyangasa naona wamekuja na kipindi kupima upepo kwa mpendwa wao mnunua media sasa wameona kwamba watanzania wanajua Zitto ni mpika majungu .Ukweli unasimama Zitto muda sasa Chadema wamekuwa wanamwangalia .Zitto amekwa hashiriki vikao vya Chadema lakini anashiriki vya CCM , amekuwa akijenga mtandao kwa muda bila kujua watu wana mwangalia , amekuwa na dharau kwa Chama na baadhi ya wabunge akidhani watu wanajali kuongea kwake bila vitendo , Zitto amekuwa aki asisi makundi na kueneza ukanda , ukabila nk yote kanza miaka mingi nyuma .Zitto unautaka Uenyekiti wa Chadema kwa busara zipi ulizo nazo hadi umaniwe ? Chama gani Duniani kina mwenyekiti mtoto kama wewe ? Tulia mwanangu bado hujafikia unayo yataka .
 
Huo ushauri ungempa babu au DJ Nadhani ungesaidia kuimarisha sacoss yenu
 
kwa staili hiii ccm kuitoa ni ndoto.mtu asioji mapato na matumizi kishakuwa mhaini,msaliti.tunahitaji chama cha upinzani kitakachotuunganisha watanzania na kuweza kuitoa madarkani CCM.juzi tumeona watu wameanzisha chama ,baada ya kuvuliwa uanachama HAMAD RASHID,pia akina RUNGWE na wenzake wameanzisha chama.ww unamshauri ZITTO naye aanzishe chama chake.TUTAANZISHA VINGAPI??? matokeo yake kila KABILA liakuwa na chama chake .Jamii kubwa ya watanzania tunataka mageuzi tatizo wapinzani ni wanafiki.tunaendekeza yaleyale ya CCM.UFISADI,UBAGUZI hususani wa KIKANDA, KABILA,DINI walionacho na wasio nacho.tutafute chama kitakachowaunganisha watanzania bila kujali DINI,RANGI,KABILA NK.
KUNA VYAMA VIKUUU VITATU TUVIIIMARISHE HIVI TUNAITOA CCM BILA TABU.hakuna hata kimoja kitakachoweza kuchukua peke yake tuondoe ubaguzi kwenye vyama vyetu.

mhaini huyo anahoji kwa njia ya vichochoroni wakati yeye ni kiongozi alikuwa wapi,au anakuwa wapi kama ni kiongozi mzigo hahudhurii vikao akasikia wanavotoa taarifa basi ni hasara yake asitusumbue
 
Haondoki mtu hapa,kama nia yenu kula pesa za sabodo kisha mkiulizwa mnakuwa wakari mmeula wa chuya.

Hakatwi mtu hapa.hivi nyie mamburura nani kawaroga hadi mshindwe kumjua hasa anaye kihujumu chadema?mbona waraka wa kitira umeweke wazi mapungufu ya mbowe na slaa.kusoma hajui nakusikia hamsikii.enyi kizazi cha nyoka ninani aliye waroga?

arudishe lile brief case lekundu alipewa na Ramadhani Inghondu na Kimei
 
mhaini huyo anahoji kwa njia ya vichochoroni wakati yeye ni kiongozi alikuwa wapi,au anakuwa wapi kama ni kiongozi mzigo hahudhurii vikao akasikia wanavotoa taarifa basi ni hasara yake asitusumbue

Akusumbuwe we nani?zito anawashughurikia mafisadi wote watanzania.
 
Misheni ya kuiua CDM ni aidha kupata uenyekiti ili akinyongelee mbali kirahisi au kungagania uanachama wa CDM ili akigawe na kukidhoofisha. Zitto hatakubali kuachana na chadema kirashisi. Atagangamala ili akigawe na ikibidi kuanzisha cha kwake si kwa lengo la siasa bali kwa kutimiza lengo la akina mwigulu kikidhoofisha! Watch out!
 
Umetumwa na mbowe umtukane mwanasiasa.ushindwe na ulegee.shetani ni wewe ulie tumwa.

Hakuna hoja ya maana na yenye mashiko kwamwenye akili timamu eti zito anakihujumu cdm.

Wanao kihujumu kwakula fedha za cdm hamuwasemi mnawaona wako sawa.ila anayeulizia uendeshwaji wa chama kwamujibu wa taratibu,mnamwona hafai.kweli vijana tumezowea kutumiwa kama makarai.

Mungu akusamehe bure kwani hujui ulitendalo,hebu nikuulize swali,hiv cdm ni hela gani zilizo ibwa na je ni kweli kwamba hujaona wizi unaofanywa na viongozi wa chama tawala?Acha kua na akili kama za nyumbu wewe!
 
Back
Top Bottom