D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,958
- 1,190
arudishe lile brief case lekundu alipewa na Ramadhani Inghondu na Kimei
Huna jipya.mbona mnasema ule waraka hauja toka chamani mnasema tiss.mnaogopa nini?kama mnauhakika kachukuwa mlungula?
arudishe lile brief case lekundu alipewa na Ramadhani Inghondu na Kimei
Umetumwa na mbowe umtukane mwanasiasa.ushindwe na ulegee.shetani ni wewe ulie tumwa.
Hakuna hoja ya maana na yenye mashiko kwamwenye akili timamu eti zito anakihujumu cdm.
Wanao kihujumu kwakula fedha za cdm hamuwasemi mnawaona wako sawa.ila anayeulizia uendeshwaji wa chama kwamujibu wa taratibu,mnamwona hafai.kweli vijana tumezowea kutumiwa kama makarai.