Ushangiliaji huu wa BMK kuna mwenye case study please?

Ushangiliaji huu wa BMK kuna mwenye case study please?

Lukansola

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
5,435
Reaction score
1,611
Wadau nilishangazwa na jinsi ambavyo wajumbe wa BMK walishangilia baada ya matokeo kutangazwa na kuonekana kuwa rasimu ya Chenge imepita kwa kupigiwa kura nyingi za ndiyo.

Naomba kama kuna mdau yeyote anayo clip inayoonesha watengeneza katiba kutoka popote duniani wakifurahi baada ya matokeo ya kura kutangazwa aniwekee hapa ili nijue tofati za ushangiliajui kutoka tamaduni mbalimbali ulimwenguni.

Mtazamo wangu ni kuwa wabongo tumekaa kimipasho zaidi hata kwenye masuala muhimu.
 
walikuwa wanafurahia wizi wao yaani hakukuwa na namna
 
walikuwa wanafurahia wizi wao yaani hakukuwa na namna

Ningependa kama kuna mwenye mfano kama huu kutoka mabunge mengine duniani ashee mfano sisi ili tuweze kujipima tumesimama wapi Froida
 
Last edited by a moderator:
Kwanini tusifurahi,wadanganyika wameshadanganyika.

Leo nimemsikia dokta bana stat tv anasema eti watu wajifunze kuheshimu mamlaka kama mahakama, wafuate maelekezo ya polisi lakini akasahau kuziambia mamlaka hizo kuzingatia haki zaidi binadamu mfano jeshi la.polisi,
 
Walikuwa wanashangilia na vijembe juu.ambavyo havina maana
 
Leo nimemsikia dokta bana stat tv anasema eti watu wajifunze kuheshimu mamlaka kama mahakama, wafuate maelekezo ya polisi lakini akasahau kuziambia mamlaka hizo kuzingatia haki zaidi binadamu mfano jeshi la.polisi,

Shida wanashindwa kuelewa uvumilivu unamwisho. Angalia nchi zote zenye vita, vurugu zinaanzishwa na Polisi au Mamlaka zilizopo madarakani. Wananchi wana vumilia lakini baada ya mda wanaamua kupambana.
 
viongoz wetu wa kibongo wanajali sana maslahi yao......kumbe walikua wanashangilia maslah yao
 
Wadau nilishangazwa na jinsi ambavyo wajumbe wa BMK walishangilia baada ya matokeo kutangazwa na kuonekana kuwa rasimu ya Chenge imepita kwa kupigiwa kura nyingi za ndiyo.

Naomba kama kuna mdau yeyote anayo clip inayoonesha watengeneza katiba kutoka popote duniani wakifurahi baada ya matokeo ya kura kutangazwa aniwekee hapa ili nijue tofati za ushangiliajui kutoka tamaduni mbalimbali ulimwenguni.

Mtazamo wangu ni kuwa wabongo tumekaa kimipasho zaidi hata kwenye masuala muhimu.
Unajua akilisema Mbowe, Lissu, Prof. Lipumba watasema ni 'looser' wanatafuta pa kutokae.
Lakini hapo hapo Dodoma kabla hata vyama vingi havijaanzishwa kuna mbunge aliwahi kusema kuwa "watakuja kufukua mafuvu yetu kuona kama tulikuwa binadamu wa kawaida". Endeleza kwenye hiyo kauli na ulinganishe na kilichotokea Bungeni juzi! wale watu wana matatizo makubwa na cha kusikitisha zaidi sisi tuliowachagua pia tuna matatizo zaidi!

 
Unajua akilisema Mbowe, Lissu, Prof. Lipumba watasema ni 'looser' wanatafuta pa kutokae.
Lakini hapo hapo Dodoma kabla hata vyama vingi havijaanzishwa kuna mbunge aliwahi kusema kuwa "watakuja kufukua mafuvu yetu kuona kama tulikuwa binadamu wa kawaida". Endeleza kwenye hiyo kauli na ulinganishe na kilichotokea Bungeni juzi! wale watu wana matatizo makubwa na cha kusikitisha zaidi sisi tuliowachagua pia tuna matatizo zaidi!

lukindo, Matatizo tunayo makubwa sana, mfano mdogo ni hawa tulionao humu mitandaoni ambao kwa nguvu zao zote watetea vitu ambavyo hata kwa macho ya mtoto mdogo vinaonekana ni vituko vya karne. Sikiliza kauli za hawa tunaowaita wasomi.
 
Last edited by a moderator:
Wadau nilishangazwa na jinsi ambavyo wajumbe wa BMK walishangilia baada ya matokeo kutangazwa na kuonekana kuwa rasimu ya Chenge imepita kwa kupigiwa kura nyingi za ndiyo.

Naomba kama kuna mdau yeyote anayo clip inayoonesha watengeneza katiba kutoka popote duniani wakifurahi baada ya matokeo ya kura kutangazwa aniwekee hapa ili nijue tofati za ushangiliajui kutoka tamaduni mbalimbali ulimwenguni.

Mtazamo wangu ni kuwa wabongo tumekaa kimipasho zaidi hata kwenye masuala muhimu.

Does that violate the Constitution?!?
 
Walikuwa wanashangilia na vijembe juu.ambavyo havina maana

It is unique among the 27 amendments of the tanzania Constitution for being the only many of our best citizens have openly ignored Prohibition respect for the law
 
viongoz wetu wa kibongo wanajali sana maslahi yao......kumbe walikua wanashangilia maslah yao

None of us can claim with a straight face that we've never done .After all,it's not like we're out there breaking the law on a .Unfortunately with that comes the problem of people.Singing happy sio kosa mkuu hawaja violate katiba musiwe wa pumbav.u hata kama shule hujenda basi mwambie mtu akusome katiba
 
Shida wanashindwa kuelewa uvumilivu unamwisho. Angalia nchi zote zenye vita, vurugu zinaanzishwa na Polisi au Mamlaka zilizopo madarakani. Wananchi wana vumilia lakini baada ya mda wanaamua kupambana.

Many tanzanias do not know what their constitutional freedoms are or why they were established in the first place,nyinyi vilaza elimu yenu ndogo ndio mnaleta tabu kwenye jamii wewe hujenda shule unataka kuwa mbunge wewe huja soma unataka urais wewe huja soma unataka kujifanya kiongozi wa chama.CCM watakupelekesheni kwa elimu yenu ndogo
 
Many tanzanias do not know what their constitutional freedoms are or why they were established in the first place,nyinyi vilaza elimu yenu ndogo ndio mnaleta tabu kwenye jamii wewe hujenda shule unataka kuwa mbunge wewe huja soma unataka urais wewe huja soma unataka kujifanya kiongozi wa chama.CCM watakupelekesheni kwa elimu yenu ndogo

Wananchi kwenye tume ya Warioba walipendkeza sifa ya mtu kuwa mbunge awe na elimu ya angalau kidato cha nne, magamba wamefuta hiyo, wanasema mradi mtu ajue kusoma na kuandika inatosha kuwa mbunge.

THE HIGHER A MONKEY CLIMBS THE MORE.... You are the monkey.
 
Wananchi kwenye tume ya Warioba walipendkeza sifa ya mtu kuwa mbunge awe na elimu ya angalau kidato cha nne, magamba wamefuta hiyo, wanasema mradi mtu ajue kusoma na kuandika inatosha kuwa mbunge.

THE HIGHER A MONKEY CLIMBS THE MORE.... You are the monkey.
Hivi wakati wa kuchukua fomu kuna mtihani kwenye hili suala?
 
Back
Top Bottom