SAIZI YANGU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 381
- 83
Mkuu ungekuwa unafuatilia siasa za kimataifa ungegundua kuwa unachoongea ni PUMBA.
Anzia ugomvi wa Kenya na Uganda juu ya kisiwa ndani ya ziwa Victoria, Sasa hivi Ukrein na Urusi, Sudani Kusini na Kasikazni, Mali (bamako) na Tualregie.....
Kuna sababu mbili kubwa, maslahi ya taifa, kiuchumi, kiusalama..., masilahi ya viongozi wa pande zote mbili, fuatilia Muungano wa Unguja na Tanganyika ulikoanzia utakuta kulikuwa na maslahi pande zote, Nyerere aliona ili awe salama na Waingereza wake lazima aiweke Zenj mikononi, huku Karume akiwa na Wa komunist alikuwa na hatari ya kupinduliwa hivyo naye akaona bora aungane awe na nguvu.
Rudi katika historia naamini utaufuta huu uzi.
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...
Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!
Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.
Wewe ndo una IQ ndogo. Issue ya Zanzibar ni sensitive sana. Kwa waona mbali huwezi ukaijadili kijuu juu tu. Huna data unaposema "Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!. Kam unafuatilia vyombo vya habari utaelewa ni kwanini Urusi ana nchi za Europe na Marekani zinataka ushawishi wa nchi ya Ukrane hasa kisiwa cha Crimea. Ujiulize kwani vita ya Uingereza ilipigana vita kugombea kisiw cha Falkland wakati kisiwa hicho kipo karibu Km 12734 kutoka Uingereza. Kaka no reserch, no right to speak.
Kisiwa cha Migingo hapo Lake Victoria, kinawatoa roho Kenya na Uganda! Hilo ni suala la IQ pia! Japan na China walikuwa wanagombea kisiwa kisichokaliwa kabisa, kina ukubwa wa KATA YA KKOO, je hawana IQ kubwa pia?
Point ni kuuvunja muungano, then tukae miaka 50, tutajua kama kulikwa na umuhimu wa huo muungano au Lah!?
Ukisema Watz tuna IQ ndogo nakataa, kama umesoma mambo ya Genetics, haiwezekani sote genes zetu ziko identical, lazima kuna utofauti ukizingatia tunatoka katika matabaka tofauti, pia dada na kaka hawaoani. Sema baadhi ya Tatanzania
Ushahidi kwamba Watz tuna IQ ndogo ni huu kuhusu malumbano na Zanzibar! Kwa nini nasema hivyo, ukiangalia Zanzibar ina kilometa za mraba takribani 2600 (2600 km²) na Watu wasiofika Milioni moja (1,000 000) wakati Tanzania Bara ina zaidi ya kilometa za Mraba laki tisa(>900 000 km²) na watu wanaozidi milioni 40 (40 000 000) lkn tunapoteza Muda, Nchi nzima kujadili haki yetu ya kupata ardhi Zanzibar, tupoteza Muda kujadili eti kupewa haki sawa na Zanzibar ktk Muungano...
Hakuna Binadamu yoyote mwenye IQ kubwa ambaye anaweza kupoteza muda kujadili mambo yenye uwiano kama Huo! Nasema Dunia nzima hakuna, ni sisi tu!
Hivyo wanaotafuta mchawi wa kwa nini sisi ni Masikini jibu lipo nalo ni moja tu, IQ!
IQ ndio ya kulaumu, yaani uwezo wa kuona na kuamua ni mambo gani ya kuyapa Kipaumbele ktk Maisha ndio mwisho wa siku unaamua ni nani aweze kuendelea kiuchumi na nani azidi kubakia kuwa Masikini...
Mkuu, rais wetu ana shahada ya uchumi na pia ni Docta. Alipoulizwa kwanini nchi yake ni masikini akasema na yeye hajui tena anashangaa. Unataka kutuambia na yeye ana IQ ndogo? Kuna jamaa mmoja huwa anapenda sana kujitapa kuwa yeye ni mchumi daraja la kwanza na ametangaza hadharani kuwa wakitafutwa watu watano wenye akili nyingi hapa Tanganyika eti na yeye hatakosekani. Huyu sidhani kama mtaelewana. Huyu ni mtaalamu na mfadhili wa kutengeneza kesi za ugaidi, iwe jua au baridi yuko na skaf yake shingoni kana kwamba shingo ni nyembamba haiwezi kubeba kichwa.
Haya yamekujaje tena.