Ushahidi Watz tuna IQ Ndogo!

Mkuu Mzee Mwenzangu, labda wewe wanaweza kukuelewa kwa mifano mizuri uliyoitoa. Nimejaribu sana kuwaelewesha lakini nimeambulia matusi.

 

usiseme wantanzania tuna IQ ndogo sema wewe na ha jamaa zako na baadhi na ndugu zako mimi na jamaa zangu na ngugu zangu ni watanazania pia usitujumuishe na huo upuuzi wako mtu mwenye IQ ndogo ni wewe ambaye uwezi tumia logic tu kuna watanzania wangapi kwa idadi na wamedai wangapi wanataka ardhi zanzibar akili ya kushikiwa iyo
 
sio kwamba watu hawana IQ wanazo ila uzalendo hakuna kwa watu wengi sio ma prof wala wasio na shule tamaa ya wachache hata kama kitu ni sensitive hawafikirii long term planning
 

Umemjibu vizuri yeye ndo mwenye IQ ndogo, Zanzibar ni nchi, ina hadhi ya nchi kama ilivyo marekani pamoja na udogo wake, udogo wa kijiografia hakuifanyi Zanziba kuwa na hadhi ya kinchi, kwahiyo watanganyika wakidai usawa huo wa Muungano ni haki yao, kama ambavyo na wao Zanzibar wanadai maswala yao kwenye Muungano.
 
Lakini Mungu anawapenda sana vilaza ndio maana kawaumba wengi mnooooo.
Sasa sijui ana maana gani.
 

Unaweza kusema pia Russia (Putin) wana IQ ndogo kung'ang'aninia Crimea?
 
thinking outside the box, leo umefungua watu macho, shida ni hawa Wazanzibar tuongea ongea bila kujua takwimu hizo kuwa after another 50years watakuwa hawana pa kwenda hivyo wangejifanya wajingaa siku ziende kizazi chao kipate makazi bara
 

Nyie hamuelewi kugombea umiliki na muungano ni mambo tofauti embu fikirieni vyema wote mliotoa mifano ya uingereza ufaransa Crimea na kadhalika
 
Ukisema Watz tuna IQ ndogo nakataa, kama umesoma mambo ya Genetics, haiwezekani sote genes zetu ziko identical, lazima kuna utofauti ukizingatia tunatoka katika matabaka tofauti, pia dada na kaka hawaoani. Sema baadhi ya Tatanzania

sawa lakini sample imeonekana kama watz wakawachagua watu kuwawakilisha wakawa wanafanya upuuzi kama wanaoufanya viongoz wetu IQ yetu inapimwa kwao kwasababu wao ndio wawakilishi wetu
 

Mkuu, rais wetu ana shahada ya uchumi na pia ni Docta. Alipoulizwa kwanini nchi yake ni masikini akasema na yeye hajui tena anashangaa. Unataka kutuambia na yeye ana IQ ndogo? Kuna jamaa mmoja huwa anapenda sana kujitapa kuwa yeye ni mchumi daraja la kwanza na ametangaza hadharani kuwa wakitafutwa watu watano wenye akili nyingi hapa Tanganyika eti na yeye hatakosekani. Huyu sidhani kama mtaelewana. Huyu ni mtaalamu na mfadhili wa kutengeneza kesi za ugaidi, iwe jua au baridi yuko na skaf yake shingoni kana kwamba shingo ni nyembamba haiwezi kubeba kichwa.
 
Haya yamekujaje tena.

 
Haya yamekujaje tena.

Nilitaka mkuu anifafanulie maana nchi hii imejaa madokta na maprofesa wa kumwaga tena wengi wako katika bunge na baraza la mawaziri, sasa ndio nikashangaa kama na wao wapo kundini ndio nikampa mfano wa hao "wasomi" wawili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…