Ushahidi wa waraka wa Utumishi wa Umma wa namna wapinzani walivyopotosha watanzania

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
WanaJF,

Huu hapa ni uthibitisho ama ushahidi kama ambavyo ilielezwa na mwanasheria msomi, ambae pia ni naibu wa spika Dr Tulia kuhusu kuruhusiwa kwa watumishi wa umma kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.

Dr Tulia ameeleza kwa umakini mkubwa na ufanisi kuwa watumishi wote wanaruhusiwa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa isipokuwa tu, wanajeshi, mahakimu na majaji. Ila watumishi wengine wote wa serikali RUKSA. Hivyo basi, hakuna mahali popote pale mwanasheria mkuu ama naibu wake amezuiliwa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Wapinzani wamelaghai na kuudanganya umma wa Watanzania kuwa watumishi wa umma hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama cha siasa, kwa kuitaja CCM...kitu ambacho sio cha kweli kwa mujibu wa waraka huu.

Hivyo basi, masahihisho haya ni kwa lengo la kuweka mambo sawa kwa Watanzania wote ambao hapo awali walilishwa uongo na wapinzani...jambo ambalo ni haramu kwenye jamii yetu. Hivyo Watanzania nawaomba mpuuze kauli za ulaghai kutoka kwa wapinzani kwa kujisomea wenyewe waraka huu hapa chini ili kubaini ukweli ambao naibu spika, Dr Tulia ameeleza leo bungeni.

attachment.php


attachment.php

 

Attachments

  • Screenshot_2015-11-19-01-54-12-1.png
    Screenshot_2015-11-19-01-54-12-1.png
    87.5 KB · Views: 6,583
  • Screenshot_2015-11-19-01-53-39-1.png
    Screenshot_2015-11-19-01-53-39-1.png
    72.8 KB · Views: 6,257
yakhe ulikuwa mchambawima zenjibar au ulifikia na kukalia dole? maana fuoni wa jang'ombe sikukuona muda mrefu tu.
 
na kipengele (e)vp ??????
 

Attachments

  • 1447933038329.jpg
    1447933038329.jpg
    18.8 KB · Views: 1,408
  • 1447933060663.jpg
    1447933060663.jpg
    20.3 KB · Views: 4,125
WanaJF,

Huu hapa ni uthibitisho ama ushahidi kama ambavyo ilielezwa na mwanasheria msomi, ambae pia ni naibu wa spika Dr Tulia kuhusu kuruhusiwa kwa watumishi wa umma kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.

Dr Tulia ameeleza kwa umakini mkubwa na ufanisi kuwa watumishi wote wanaruhusiwa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa isipokuwa tu, wanajeshi, mahakimu na majaji. Ila watumishi wengine wote wa serikali RUKSA. Hivyo basi, hakuna mahali popote pale mwanasheria mkuu ama naibu wake amezuiliwa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Wapinzani wamelaghai na kuudanganya umma wa Watanzania kuwa watumishi wa umma hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama cha siasa, kwa kuitaja CCM...kitu ambacho sio cha kweli kwa mujibu wa waraka huu.

Hivyo basi, masahihisho haya ni kwa lengo la kuweka mambo sawa kwa Watanzania wote ambao hapo awali walilishwa uongo na wapinzani...jambo ambalo ni haramu kwenye jamii yetu. Hivyo Watanzania nawaomba mpuuze kauli za ulaghai kutoka kwa wapinzani kwa kujisomea wenyewe waraka huu hapa chini ili kubaini ukweli ambao naibu spika, Dr Tulia ameeleza leo bungeni.

attachment.php


attachment.php

Aya ya 8 iko wapi?
 
Tuseme sawa wanaruhusiwa kua wanachama..unatafsiri vipi neno kujihusisha? Tulia alikua naibu mwanasheria mkuu kabla hajajiuzuru wadhifa huo akenda kuchuku fomu Ya uspika kupitia ccm. Sasa hapa kajiusisha au la? Unapokuja na hoja za kukaririshwa tumia akili yako kidogo kujiongeza
 
WanaJF,

Huu hapa ni uthibitisho ama ushahidi kama ambavyo ilielezwa na mwanasheria msomi, ambae pia ni naibu wa spika Dr Tulia kuhusu kuruhusiwa kwa watumishi wa umma kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.

Dr Tulia ameeleza kwa umakini mkubwa na ufanisi kuwa watumishi wote wanaruhusiwa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa isipokuwa tu, wanajeshi, mahakimu na majaji. Ila watumishi wengine wote wa serikali RUKSA. Hivyo basi, hakuna mahali popote pale mwanasheria mkuu ama naibu wake amezuiliwa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Wapinzani wamelaghai na kuudanganya umma wa Watanzania kuwa watumishi wa umma hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama cha siasa, kwa kuitaja CCM...kitu ambacho sio cha kweli kwa mujibu wa waraka huu.

Hivyo basi, masahihisho haya ni kwa lengo la kuweka mambo sawa kwa Watanzania wote ambao hapo awali walilishwa uongo na wapinzani...jambo ambalo ni haramu kwenye jamii yetu. Hivyo Watanzania nawaomba mpuuze kauli za ulaghai kutoka kwa wapinzani kwa kujisomea wenyewe waraka huu hapa chini ili kubaini ukweli ambao naibu spika, Dr Tulia ameeleza leo bungeni.

View attachment 306501

View attachment 306502


Usipotoshe, weka inapozungumzia Wakili wa serikali
 
hujui unachoongea ww unatokwa povu tu hapa unaijua sheria ww au unaropoka tu
 
Kama tunachagua mvunja sheria kwenda kutetea sheria na kanuni..tumejidanganya.
 
Tuseme sawa wanaruhusiwa kua wanachama..unatafsiri vipi neno kujihusisha? Tulia alikua naibu mwanasheria mkuu kabla hajajiuzuru wadhifa huo akenda kuchuku fomu Ya uspika kupitia ccm. Sasa hapa kajiusisha au la? Unapokuja na hoja za kukaririshwa tumia akili yako kidogo kujiongeza

Eti nina miaka 14 za uzoefu wa kuwafanya kazi za Kisheria!
Ni heri angeendelea kuwapo huko magogoni walikozoea kudanganyana-kuliko hili la kuletwa kwenye taasisi ya Umma na mwisho kuendeleza utamaduni ule ule!
 
Back
Top Bottom