Tulishapumzika kusikia kichefu chefu kama hiki naona kinarudi... aisee... ushuzi kabisa . Old tactics. Ni dalili ya ujio wa watu wa kale back into the systemView attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
Kwahiyo ulitaka azikatae au sio.Kuna ukweli fulani hapo ila mimi pia Chadema siwaamini nawaoma ni walewale na mfumo uleule.
Mbowe wiki iliyopita hapa kapokea milioni 150 toka kwa Samia huku amekenua meno yote.
Kisha abakuja jukwaani eti peepers!
Wote wachumia tumbo tupu.
Nimemuona Mnyika amenona shingo full, shauri ya Posho za vikao vya maridhiano mwaka mzima.
Eti chama kikuu kabisa. Hujui Kiswahili, chadema siyo chama kikuu kabisa. Toa takwimu.View attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
CCM rushwa ndiyo jadi na ndiyo maisha yaoTimu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Umeongea utoto gani hapa dogo?!@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?
Kama hukuweza kuuanika ukweli unaodai kuwa nao leo,huo mwingine utaupata wapi?
Hao mamilioni ya watanzania waliokuahidini kuwaunga mkono ebu tuwekee mfano wake hapa?
Tatizo Chadema mlidekezwa na Samia na mkavimba bichwa mkiwadharau wanasiasa wengine.
Juzi hapa mliwafanyia Uhuni "Sauti ya Watanzania"mkawaahidi kuwapa ushirikiano na zilipokaribia siku ya kuwaruhusu kufanya maandalizi ya mkutano Dsm kupitia platform yenu mkawahujumu kwa kuwazimia simu.
Mnyika huyo huyo na Mbowe wake.
What goes around also comes around!
Na sasa ni zamu yenu.
Waambie Mbowe, Lema na Lissu walete pia familia zao toka Ughaibuni kuja kushiriki maandamano ya 24/01/24.
Sio wajifanye kuhanikiza huku wakiwa na Passport zao mifukoni.
Tunawajua mabingwa wa kutimkia Dubai,Canada na Ubelgiji.
Lissu juzi kati alitimks toka karatu mpaka Ubelgiji.
Bisha kama nasema uongo?
Mwambie Mbowe arufishe ile milioni 150 ya Samia aliyopewa juzi kanisani. Acheni kututapeli watanzania!
@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?
Kama hukuweza kuuanika ukweli unaodai kuwa nao leo,huo mwingine utaupata wapi?
Hao mamilioni ya watanzania waliokuahidini kuwaunga mkono ebu tuwekee mfano wake hapa?
Tatizo Chadema mlidekezwa na Samia na mkavimba bichwa mkiwadharau wanasiasa wengine.
Juzi hapa mliwafanyia Uhuni "Sauti ya Watanzania"mkawaahidi kuwapa ushirikiano na zilipokaribia siku ya kuwaruhusu kufanya maandalizi ya mkutano Dsm kupitia platform yenu mkawahujumu kwa kuwazimia simu.
Mnyika huyo huyo na Mbowe wake.
What goes around also comes around!
Na sasa ni zamu yenu.
Waambie Mbowe, Lema na Lissu walete pia familia zao toka Ughaibuni kuja kushiriki maandamano ya 24/01/24.
Sio wajifanye kuhanikiza huku wakiwa na Passport zao mifukoni.
Tunawajua mabingwa wa kutimkia Dubai,Canada na Ubelgiji.
Lissu juzi kati alitimks toka karatu mpaka Ubelgiji.
Bisha kama nasema uongo?
Mwambie Mbowe arufishe ile milioni 150 ya Samia aliyopewa juzi kanisani. Acheni kututapeli watanzania!
Kweli kabisa !..tumeshashahudia aina zote mbili ulizozitaja.
..tumeshuhudia vigogo wakitoka Ccm kwenda upinzani.
..pia tumeshuhudia vidagaa wakitoka Ccm kwenda upinzani.
..wote wameshindwa kuvumilia misukosuko wanayopitia makada wa upinzani.
..upinzani Tz sio lelemama. Unahitaji mtu mwenye msimamo na ambaye hajaonja anasa za Ccm.
Utabiri ni utabiri tu unaweza ukatokea au usitokee !!CCM kwa sasa hamna mtu msafi tena, Mwalimu hapo alitufunga kamba.
Mbona hawakwenda kuhonga MoroccoView attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
HahaaaCCM kwa sasa hamna mtu msafi tena, Mwalimu hapo alitufunga kamba.
Voice, wewe ni jinsia gani? Kwanini unapenda kulialia na familia za watu? Wanasiasa ni Mbowe, Lissu, Lema nk. Familia zao zinahusika vipi na siasa? Ni nogwa kwa hizo familia kukaa nchi za nje au ni wivu ndio unakusumbua?@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?
Kama hukuweza kuuanika ukweli unaodai kuwa nao leo,huo mwingine utaupata wapi?
Hao mamilioni ya watanzania waliokuahidini kuwaunga mkono ebu tuwekee mfano wake hapa?
Tatizo Chadema mlidekezwa na Samia na mkavimba bichwa mkiwadharau wanasiasa wengine.
Juzi hapa mliwafanyia Uhuni "Sauti ya Watanzania"mkawaahidi kuwapa ushirikiano na zilipokaribia siku ya kuwaruhusu kufanya maandalizi ya mkutano Dsm kupitia platform yenu mkawahujumu kwa kuwazimia simu.
Mnyika huyo huyo na Mbowe wake.
What goes around also comes around!
Na sasa ni zamu yenu.
Waambie Mbowe, Lema na Lissu walete pia familia zao toka Ughaibuni kuja kushiriki maandamano ya 24/01/24.
Sio wajifanye kuhanikiza huku wakiwa na Passport zao mifukoni.
Tunawajua mabingwa wa kutimkia Dubai,Canada na Ubelgiji.
Lissu juzi kati alitimks toka karatu mpaka Ubelgiji.
Bisha kama nasema uongo?
Mwambie Mbowe arufishe ile milioni 150 ya Samia aliyopewa juzi kanisani. Acheni kututapeli watanzania!