Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,038
- 3,034
Walio wanajua kuwa watakufa, bali wafu hawajui neno lolote kumbukumbu zao zimesahaulika. Soma biblia kitabu cha mhubiri sura na kifungu nime4geti
Kitu chochote cha dini kikisha involve wana sayansi huwa nakipotezea, wanasayansi hawaamini mungu and ibdont chose to believe their research.
Yale yale ya mtu alikuwa sokwe, mbona siku hizi masokwe hawawi watu? Uongo mtupu.
Jaman hebu mwogopen MUNGU siyo mna post vitu msivyo vijua.....
IMEANDIKWA
kila nafsi itaonja mauti, na kila nafsi itahukumiwa sawasawa na matendo yake.