Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Watanzania si wajinga ,waTZ enzi za nyerere si wasasa ,ukitaka kuongea na waTZ wasasa inabidi ujipange ,ukileta uongo uongo utaambiwa ukweli........Rushwa ya Mwarabu inabidi muirudishe au mbadili vipengere vibovu kwenye mkataba ,IGA ndiyo kila kitu kama mkipuyanga kwenye IGA hata huko kwenye HGA hamtoboi.
Watanzania ni maneno tu hkuna action yoyote ona kenya unga tu Ila ruta kafayta mkiaa na ubabe wake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
najiuliza, kama mkataba usingevujishwa ungepelekwaje Bungeni kupitishwa? si ni lazima ulikuwa uwe hadharani kwa vyovyote vile?


JESUS IS CHRIST
Usingepelekwa kama Ile mingine 21, maana nasikia ilikuwa 22,Sasa jiulize hiyo mingine ilipelekwa lini?
 
Hayo makampuni Atayatoa wapi Mkuu. Ukitaka kujua Ni hujuma na rushwa za kitoto.

Kwanini hili swala limeibuka mwaka huu wakati walisaini toka mwaka Jana mwezi wa kumi na ikifika wa kumi mwaka huu Ni mwaka? Kimya Cha karibu miezi 6 kilikuwa Chanini Kama walichokifanya Ni sahihi na Ni haki?.
Mkataba umevujishwa huo,hapakuwa na mpango wa kuuweka wazi.
 
Hivi tufanye wanaopinga Mkataba wakashinda na ukafutwa mmewahi kujiuliza nini kitafuata?
Kama kitakachofuata kinamadhara makubwa basi tufanye maamuzi aliyofanya Nyerere katika kuamua mfumo wa vyama vingi. Wachache walikubaliwa kwa mustakabali wa nchi.
 
Pre qualification bid unaijua?
Pre-qualification bid inafanyika bila tender announcement? Una bid nini kama hujatangaziwa? Yaani wewe unatoka kwako unakwenda kumwambia Bidder Nataka uje kwangu uwekeze hiki, mkataba mnafungia huko huko kwake. Hiyo aliyofanya ndo wewe unaiita pre-qualification bid?
 
Hata hivyo binafsi naipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi juu ya swala la D.P. World.
Bila hivyo hakika tungeingia msituni.
Nimerudisha majeshi uraiani sasa.

Iendelee kuwa makini na maslahi ya nchi.
 
Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo public
Purpose of prequalification

The prequalification of bidders is a typical stage followed in most countries. This stage may also be considered as the beginning of the formal procurement process to select a private investor/service provider. This stage begins with an invitation for expressions of interest (EOI). The main objective is to pre-qualify potential bidders for the project. The purpose of prequalification is to assess the technical and managerial competency and financial soundness of the interested bidders. Prequalification of bidders is not intended to cover any aspect of the proposal for the project or factors related to the indicative contract. These elements are considered at the later stages of the procurement process.

Information provided

Sufficient time is given to prospective bidders to submit their EOI. Considering the complexity of the project some countries allow 4-12 weeks for the submission of EOI.


KAMA HAYA YALIFQNYIKA ONYESHA TUFUTE UZI.
 
Back
Top Bottom