Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kwa wale mates
mnakumbuka kamchezo alichokuwa akituchezesha zito na wenzake pale udsm kudai posho iongezeke
mpaka ikaongezeka kudai pesa za afya zilipwe kwetu na si kujilipa chuo mpaka tukaanza kulipwa kilo
yaani laki..nakumbuka huyu kijana alisoma kwa shida sanaila kila mgomo zito kasimamishwa karudishwaje
sijui wenzie wanaondolewa kabisa miezi kadhaa mgomo serikali ya chuo ikapanga kumfukuza kuna sheria
ya kutoingia darasani maratatu mfululizo tukawa tunagoma siku mbili ya tatu tunaingia .inayofwata tunagoma aaaahaaa wacha bana walipata shida na kile kikosi mwisho wa siku nilijua kijana anakuja kuwa kama yussuf wa kwenye baibo
kama mnakumbuka aliota ndoto atakuwa wazirimkuu atawatawala wazazi na ndugu wote apo ndipo alipoaribu ndugu wakataka kumuua wakashindwa wakaamua kumuuza na baada ya miaka 30 akawa waziri mkuu leo hii zito analikmbiza bunge lililokuwa limejaa walafi na wazandiki wa ccm wasiotaka kujua kikomo chaubunge....leo hii zito anawakumbusha sheria zinasema vikao 3 mfululizo sio anavyosema makinda .anna
wazo
nahisi kuna umuhimu sana wa mama makinda kwa kuwa shule ushamalizana nayo jaribukila saa kupitia vifunngu vya sheria za bunge..alinifurahisha kimeo mmoja anajiita ndugai akaulizwa unakauli gan juu ya mkulo kudanganya bunge wakati kenye maandishi tofauti na alichosema akadai mie nafwata alichoongea na akuna mabadilko hata kwenye ansad imerekodi t ayari wewe ndunga wewe umesomea wapishule yako
mnakumbuka kamchezo alichokuwa akituchezesha zito na wenzake pale udsm kudai posho iongezeke
mpaka ikaongezeka kudai pesa za afya zilipwe kwetu na si kujilipa chuo mpaka tukaanza kulipwa kilo
yaani laki..nakumbuka huyu kijana alisoma kwa shida sanaila kila mgomo zito kasimamishwa karudishwaje
sijui wenzie wanaondolewa kabisa miezi kadhaa mgomo serikali ya chuo ikapanga kumfukuza kuna sheria
ya kutoingia darasani maratatu mfululizo tukawa tunagoma siku mbili ya tatu tunaingia .inayofwata tunagoma aaaahaaa wacha bana walipata shida na kile kikosi mwisho wa siku nilijua kijana anakuja kuwa kama yussuf wa kwenye baibo
kama mnakumbuka aliota ndoto atakuwa wazirimkuu atawatawala wazazi na ndugu wote apo ndipo alipoaribu ndugu wakataka kumuua wakashindwa wakaamua kumuuza na baada ya miaka 30 akawa waziri mkuu leo hii zito analikmbiza bunge lililokuwa limejaa walafi na wazandiki wa ccm wasiotaka kujua kikomo chaubunge....leo hii zito anawakumbusha sheria zinasema vikao 3 mfululizo sio anavyosema makinda .anna
wazo
nahisi kuna umuhimu sana wa mama makinda kwa kuwa shule ushamalizana nayo jaribukila saa kupitia vifunngu vya sheria za bunge..alinifurahisha kimeo mmoja anajiita ndugai akaulizwa unakauli gan juu ya mkulo kudanganya bunge wakati kenye maandishi tofauti na alichosema akadai mie nafwata alichoongea na akuna mabadilko hata kwenye ansad imerekodi t ayari wewe ndunga wewe umesomea wapishule yako