mpondamali
JF-Expert Member
- Sep 5, 2011
- 502
- 176
Hii ndio hali ya tshs yetu...inazidi kuporomoka dhidi ya US DOLLAR....Je ni nini hasa kimekolezea kuporomoka kwa shillingi? Ni uchumi ama nchi za wafadhili kusita baada ya tamko la EU almaarufu UMOJA WA ULAYA?
