USB to HDMI cable inahitajika

USB to HDMI cable inahitajika

Zinaanzia 40,000/= hadi 100,000+ kutegemeana na idadi ya output HDMI na product pia ni kampuni gani
Mkuu kuna kidivice job tulinunua USD 500 kwa ajili ya laptop Kama ya huyo haina port ya HDMI ila hicho kidevice ni kwa kila kila kifaa chenye port ya out kinapokea na kurusha kwenye TV au projectors
 
Mkuu kuna kidivice job tulinunua USD 500 kwa ajili ya laptop Kama ya huyo haina port ya HDMI ila hicho kidevice ni kwa kila kila kifaa chenye port ya out kinapokea na kurusha kwenye TV au projectors
USB to HDMI FEMALE ADAPTERS zinauzwa kuanzia 40,000/ + kwa maduka yetu hpa bongo inatoa HDMI OUT ambayo ndio unaweza chomeka cable kwenda kwenye tv yenye HDMI
 
nahita
Hebu elezea matumizi yako ni kwa ajili ya nini haswa? Usije ingia chaka... Maana USB to HDMI huwa haifanyi Kazi kwa direct cable to cable sababu between huwa na device kwa ajili ya aina kazi uitakayo..
nahitaji kwa ajili ya kutoa video/ppt/ms/ kutoka kwenya laptoap kwenda hata kwenye projector
 
nahita

nahitaji kwa ajili ya kutoa video/ppt/ms/ kutoka kwenya laptoap kwenda hata kwenye projector
Sasa hapo unahitaji cable tofauti kabisa mbona USB haiwezi peleka direct picha kihivyo.. Laptop yako tazama Ina output ya port ya aina gani Kama Ina HDMI ni very simple cable zipo tele kuanzia mita moja. Na Kama Ina port ya VGA nayo cable kibao vga to HDMI au VGA to VGA maana na projecter yako iwe na port hizi either HDMI au VGA port ni simple ila Kama laptop yako haina VGA aut au HDMI aut Ina USB pekee kuna device sema vina bei Kali utakinunua na cable pia utahitaji.. Na pia kuna kuwa na software yake kusupport ifanyekazi.
 
Piga picha matundu ya laptop yako na hayo matundu ya projector tukusaidie ushauri Wa simple cable itakayofaa maana laptop zingine za kilongi au projector pia zaweza kusumbua zikakataa kufanya Kazi ukawa umekula Hasara ya pesa na muda. Hiyo picha uliyoweka hapo na Kazi unayotaka hutofanikiwa kwani hicho ni kipande tu more cable you require to buy after hicho hapo juu.
 
Subiri asubuhi ikingiaa ntazipiga picha cable nliyokuwa nazo maana Kna mazagazaga kibao
Labda naweza pata mseti

Ova
 
Mkuu me ninayo ile ya kuunganisha na simu yaani Display ya Simu inahamia kwenye TV yenye HDMI huku USB cable in a act Kama charger sometime bila adopter ya umeme lakini.. Bei elfy 20 tu. Siitumii tena TV imeharibika port ya HDMI radi ilipiga. Kwa kuwa TV inaonesha sihitaji HDMI anymore
Nahitaji mkuu nicheki 0716863406
 
USB to HDMI FEMALE ADAPTERS zinauzwa kuanzia 40,000/ + kwa maduka yetu hpa bongo inatoa HDMI OUT ambayo ndio unaweza chomeka cable kwenda kwenye tv yenye HDMI
Duka lipo mtaa gani na kinaitwaje?
 
Mimi nahitaji cable ya kutoka kwa laptop isiyo na port ya hdmi kwenda screen yenye hdmi port....
Kama lengo ni kutaka kudisplay mambo ya kwenye laptop kwenye screen yako tafuta VGA to HDMI ukibisha utakuja mwenyewe hapa,
SWALI: Kwanini nakwambia ni VGA to HDMI?
JIBU: Chunguza jinsi projector inavyofanya kazi na uchunguze huwa inaungwa vipi, unachotaka kukifanya hakitofautiani na kuunga projector.
Ukitumia USB to HDMI hata ukienda koromije kutambika hutafanikiwa
 
Kama lengo ni kutaka kudisplay mambo ya kwenye laptop kwenye screen yako tafuta VGA to HDMI ukibisha utakuja mwenyewe hapa,
SWALI: Kwanini nakwambia ni VGA to HDMI?
JIBU: Chunguza jinsi projector inavyofanya kazi na uchunguze huwa inaungwa vipi, unachotaka kukifanya hakitofautiani na kuunga projector.
Ukitumia USB to HDMI hata ukienda koromije kutambika hutafanikiwa
Mkuu kama kitu hukijui bora utulie ili ujifunze mkuu ,
Hicho ulicho kiongelea wewe ni kitu kingine na hicho anacho kiongelea mdau ni kitu kingine , hizo ni kadi mbili tofauti kabisa ingawa zote zina kazi moja, hiyo uliyo shauri wewe ni converter inayo convert from VGA TO HDMI na na hicho ulicho sema wewe hakiwi pluged kwenye USB PORT bali inakuwa pluged kwenye VGA port na mfano wake ni hapo chini
new-mini-vga-to-hdmi-converter-connector.jpg

Na hicho alicho uliza mdau hapo yeye anahita device ambayo ataichomeka kwenye USB na ikafanya kazi kama HDMI kwa maana hiyo yeye anahitaji device kama hiyo hapo chini
pcusbhdmi.jpg

Na hivyo vyote vina fanya kazi moja so hata ukinunua ya USB kinacho fanyika katika USB port ni kuitambulisha device kwenye computer yako tu, kama ambavyo una plug devices zingine , ila drivers ndizo zitakazo idirect device kwenye kazi kusudiwa na command za mtumiaji ,coz unaweza itumia kama OUTPUT DEVICE au INPUT DEVICE kulingana na mahitaji yakona kifaa unacho hitaji kutumia,, ingawa mara nyingi HDMI hutumika kama OUTPUT,, ingawa kuna baadhi zina INPUT kwa ajili ya play tations kutumika kwenye laptop...... tofauti na hiyo VGA TO HDMI ambayo yenyewe ina convert hiyo hiyo port ya VGA to work as HDMI. Nadhani nimeeleweka
 
Back
Top Bottom