ommy clear
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 214
- 57
Sorry wana jf, naomba kuuliza juu ya PC yangu natumia HP 430 lakin port zake nikichomeka flash inakubali kusoma na kutulia fresh lakini nikitumia USB ya kwenye simu naona inasoma lakini haitulii inacheza cheza sana nimejaribu zaidi ya USB moja , naomben ushaur au nibadilishe window?